UDSM mwaka huu kuna nini?

Competition kaka. 1 point 5 kwa PCM ni division 2 ya point kadhaa miaka ya 90.
 
H
PCB one ya 5 mpaka 9 aliyeweka first choice doctor of medicine chuo cha MUHAS,kakosa chuo.Kwa sababu MUHAS wanaangalia first choice tu,other choices wanakuambia kabisa the selection wasn't runned.Wengi wameliwa kichwa hadi UDOM.
HUjAeleweka hapa Mkuu rudia tena!!

Nyie sio Wanafunzi wa Mchonde kweli!?
 
H

HUjAeleweka hapa Mkuu rudia tena!!

Nyie sio Wanafunzi wa Mchonde kweli!?
hapana mkuu,me nimemaliza form six 1939.

ANYWAYS,Ni kwamba kwenye choices za kozi kwa vyuo vya MUHAS na UDOM,kwa mwaka huu wameangalia first choice peke yake,mfano mwanafunzi aliyepata one ya 6 akaweka first choice yake doctor of medicine then second choice akaweka nursing,huyu kwa mwaka huu amekosa chuo kwa sababu MD wameshajaa tayari 235 students pale muhas.
 
H

HUjAeleweka hapa Mkuu rudia tena!!
in short kwa mwanafunzi wa PCB aliyepata chuo mwaka huu wapo wa aina tatu
1.wanafunzi vipanga waliopata 3,4 na 5 baadhi

2.wanafunzi waliopata 7 mpaka 9,ila hawakung'ang'ania courses zenye competition kama doctor of medicine,DDS,pharmacy kwenye vyuo vikubwa kama MUHAS .

3.wanafunzi wa PCB waliokimbia course za afya na kuchagua computer sciences,accountancy.
 
Tuachane na hayo, nimemuona Anko T kavaa dera aisee😭

Hivi Anko T na noel nani ana afadhali kidogo?😭😅
 
Nimekusomz mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…