UDSM imeachia round 4 & 5

UDSM imeachia round 4 & 5

Nilikua Nacte pia Leo, lkn Kuna baadhi ya majina yapo rejected, alaf Udsm wao hawacomfirm mtu ambae hakupata C Tatu form four, hiyo ndo taarifa
 
Udsm wameachia batch ya 6 na 7 bado jina langu halipo eee Mungu nisaidie jina langu litokee
 
Aise izo batch walizo toa tena jina sija liona hayo majina yaliyo kataliwa si yatumwe tu tujue bas kama tumekosa
 
Tusikubali kirahic kutemwa Udsm, kwanin watuchague!? Kwan hiyo Nacte ni private sector!? Je wao hawajui product inayo pokelewa Udsm!? Sasa Kwa walio Dar kesho tukutane mawasiliano mida ya saa 2 ili tuwakute Hao Udsm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom