Mpambalachuma
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 362
- 44
jamaangu umeongea jambo la msingi sana asee, unajua kuna wengine wapo ukerewe huko na wanahitaji kuomba ruhusa na majina hayajatoka, basi hata kwa nyie mliopo dar mungu akiwaongoza mkienda udsm na mkapata jibu basi na wale wa mikoani itabidi waombe ruhusa hata kwa kutumia profile view ya nacte. kaka MPAMBALUMA fanyeni ivo ariff tunawategemea sana maana huu msiba bado ni wetu na ukifanya ivo utasaidia vijana wenzako zaidi ya 1000 so fanyeni asee.
Msijali ndugu, tupo pamoja pia tahakikisha kesho kila kitu kipo Sawa pia tajitahid nifike makao makuu ya Nacte ili tuone wanatusaidiaje!?