UDSM, DUCE and MUCE: Shift from Unit system to credit system

UDSM, DUCE and MUCE: Shift from Unit system to credit system

Lecture kua ya 3 hours kawaida kwa UDSM, utakuta ratiba inaonyesha mnaingia practical session laboratory lakini lecturer anakuja na laptop na projector yake anaanza kupigisha pindi hadi mwisho wa hizo 3 hours.
 
Lecture kua ya 3 hours kawaida kwa UDSM, utakuta ratiba inaonyesha mnaingia practical session laboratory lakini lecturer anakuja na laptop na projector yake anaanza kupigisha pindi hadi mwisho wa hizo 3 hours.

we ucwasemee conas,wazungumzie ngwini wa coss,udbs,law na cohu,hao hawajazoea kukaa kwenye vipindi muda wote huo,itakua ni ful kumbonji yani.
 
Wadau,kwa wale ambao huwa hamna utamaduni wa kutembelea a/c zenu za aris,kuna mabadiko hasa kwa kozi za coss,udbs,cohu na udsl,mabadiliko yenyewe ni kwamba,zile kozi ambazo zina 3 units ambazo kimsing total units zake zinatakiwa ziwe 15 zimebadilika na kuwa 12,na zile zenye 2 kama DS ambazo total units zake znatakiwa kuwa 10 zmebadilika na kuwa 8...bado haijajulikana kama ni technical error au ni mabadiliko yaliyofanywa na chuo..asanteni.
NB:Wale tunaoingia mwaka wa 3,kale kakipengele ka kuconfirm kama utaudhurua kwenye graduation kameshawekwa,me nishaconfirm tayari.
 
Wadau,kwa wale ambao huwa hamna utamaduni wa kutembelea a/c zenu za aris,kuna mabadiko hasa kwa kozi za coss,udbs,cohu na udsl,mabadiliko yenyewe ni kwamba,zile kozi ambazo zina units ambazo kimsing total units zake zinatakiwa ziwe 15 zimebadilika na kuwa 12,na zile zenye 2 kama DS ambazo total units zake znatakiwa kuwa 10 zmebadilika na kuwa 8...bado haijajulikana kama ni technical error au ni mabadiliko yaliyofanywa na chuo..asanteni.
NB:Wale tunaoingia mwaka wa 3,kale kakipengele ka kuconfirm kama utaudhurua kwenye graduation kameshawekwa,me nishaconfirm tayari.

endelea kulala 2!
 
we ucwasemee conas,wazungumzie ngwini wa coss,udbs,law na cohu,hao hawajazoea kukaa kwenye vipindi muda wote huo,itakua ni ful kumbonji yani.

Hahahaaaaa nalo neno mkuu, kwa CoNAS,CoET na CoICT maisha ya 3hours ni jambo la kawaida tu
 
Wadau,kwa wale ambao huwa hamna utamaduni wa kutembelea a/c zenu za aris,kuna mabadiko hasa kwa kozi za coss,udbs,cohu na udsl,mabadiliko yenyewe ni kwamba,zile kozi ambazo zina 3 units ambazo kimsing total units zake zinatakiwa ziwe 15 zimebadilika na kuwa 12,na zile zenye 2 kama DS ambazo total units zake znatakiwa kuwa 10 zmebadilika na kuwa 8...bado haijajulikana kama ni technical error au ni mabadiliko yaliyofanywa na chuo..asanteni.
NB:Wale tunaoingia mwaka wa 3,kale kakipengele ka kuconfirm kama utaudhurua kwenye graduation kameshawekwa,me nishaconfirm tayari.

Watu wengine bna...na wewe hii unaona ni taarifa??...
 
ulitaka iwe breaking news?

usipaniki.
Watu wakushangaa kwa kukuona uko bize, kumbe hata hii taarifa ulikua huijui.
Chakukusaidia tu ni kwamba, udsm imehama kutoka kwenye mfumo wa units na kwenda kwenye mfumo wa credits.
i.e
3units = 12credits and
2units = 8credits.
 
usipaniki.
Watu wakushangaa kwa kukuona uko bize, kumbe hata hii taarifa ulikua huijui.
Chakukusaidia tu ni kwamba, udsm imehama kutoka kwenye mfumo wa units na kwenda kwenye mfumo wa credits.
i.e
3units = 12credits and
2units = 8credits.

nipe elimu ya kutosha...faida za kutumia huo mfumo mpya ni zipi..na kwa nini wameamua kuanza kuutumia?
 
usipaniki.
Watu wakushangaa kwa kukuona uko bize, kumbe hata hii taarifa ulikua huijui.
Chakukusaidia tu ni kwamba, udsm imehama kutoka kwenye mfumo wa units na kwenda kwenye mfumo wa credits.
i.e
3units = 12credits and
2units = 8credits.

Mweleweshe huyo kinda
 
Back
Top Bottom