Kazi ya chuo sio kukutafutia ajiraHabari wakuu,
Kuna watoto waliomba course ya Forensic Science (Diploma) ambayo kwa mujibu wa Prospectus ya hapo UDOM ni miaka miwili.
Sasa vijana hadi leo hawana ajira. UDOM hili linawahusu na litawahukumu sana.
Asanteni.
Ukiomba kozi kama hiyo asilimia kubwa ya ajira inatoka polisi CID,
Wajilaumu wanafunzi na wazazi wao
