UDOM wahitimu wanalia

DVC

JF-Expert Member
Jan 11, 2019
219
213
Habari wakuu,

Kuna watoto waliomba course ya Forensic Science (Diploma) ambayo kwa mujibu wa Prospectus ya hapo UDOM ni miaka miwili.

Sasa vijana hadi leo hawana ajira. UDOM hili linawahusu na litawahukumu sana.

Asanteni.
 
Taifa hili watu wake walitakiwa wasome elimu ya kati ya ufundi mpaka 2050.. Baada ya hapo automatically kutakuwa na mahitaji ya wanataaluma wengine baada ya hawa technicians na engineers kutengeneza mamilioni ya ajira... Twendeni tukajifunze China, Korea, India, Indonesia, Brazil, Japan nk. Elimu ya ufundi na teknolojia ikitolewa vizuri itatengeneza mamia na maelfu ya ajira na kuajiri wengine...
 
Hizi fani za Sheria, siasa, utawala, uhasibu, social science nk sio rafiki kwa Taifa masikini zaidi zaidi zinapoteza nguvu kazi tu na kutia hasara...
 
Ndipo nilikaa nikafkiria nikaona pesa ya kwenda kusoma chuo nikamwambia mzaz hyo pesa kamalizie mjengo ngoja mm nipambane mtaa kwanza
 
Sasa si useme wewe tu mkuu ndio yamekukuta...tafuta kibarua ujiajiri achana na kutafuta ajira watu wa kada zote Tanzania wanasota tu ajira hakuna
 
Habari wakuu,

Kuna watoto waliomba course ya Forensic Science (Diploma) ambayo kwa mujibu wa Prospectus ya hapo UDOM ni miaka miwili.

Sasa vijana hadi leo hawana ajira. UDOM hili linawahusu na litawahukumu sana.

Asanteni.

Kwani Vyuo Vikuu nchini Tanzania au kokote kule duniani akiachilia mbali Kutoa Elimu ya Kitaaluma kwa Wanafunzi pia huwa wana Wajibu wa Kuwatafutia Ajira?
 
Mbona vijana wa vigogo wanaajiriwa angalia mawaziri woote tangu nyerere mpaka kikwete watoto wao wote wamepata kazi serikalini
Hakuna mtoto wa kigogo utamkuta anahangaika na bahasha asee ni sisi huku wa chini ndo kutwa kusambaza cv
 
Back
Top Bottom