kama ndo hivyo basi kitu JAMUHURI, cc ndo mwaka wa jana tulisajiliwa, na mtapanga mistari humo ndani uwanjani kutokana na school na college zenu , xo mpango mzima unakua hivyo.
Tehe tehe tehe! Hebu waungwana acheni kupoteza muda kujaza coments kwenye hii thread ya huyu mpuuzi, hana lolote huyu. Usajili wa wanafunzi uwe uwanja wa jamhuri umekuwa usahili wa bongo star search huo!?
Tehe tehe tehe! Hebu waungwana acheni kupoteza muda kujaza coments kwenye hii thread ya huyu mpuuzi, hana lolote huyu. Usajili wa wanafunzi uwe uwanja wa jamhuri umekuwa usahili wa bongo star search huo!?