mike82
New Member
- Jul 8, 2015
- 1
- 0
Habari za jioni,
Naomba kufahamishwa endapo inawezekana kusainishwa mkopo kabla ya kukamilisha usajili ili niweze kutumia fedha hizo kukakamilisha kiasi cha ada niweze kukamilisha usajili maana nimeambiwa na waliofika chuoni (UDOM) kuwa inatakiwa ilipwe kwanza nusu ya ada ndipo usaini mkopo.
Naomba kufahamishwa endapo inawezekana kusainishwa mkopo kabla ya kukamilisha usajili ili niweze kutumia fedha hizo kukakamilisha kiasi cha ada niweze kukamilisha usajili maana nimeambiwa na waliofika chuoni (UDOM) kuwa inatakiwa ilipwe kwanza nusu ya ada ndipo usaini mkopo.