A
Anonymous
Guest
Wanafunzi wa UDOM college ya informatics wamekua na changamoto kadha wa kadha.
1. Ubovu wa miundombinu hasa choo kwa baadhi ya blocks(1 and 3) hali inayopelekea kushindwa kujisaidia na kupata huduma vizuri hasa block 3 Lina wanafunzi zaidi ya 450 lakini matundu ya vyoo vinayofanya kazi ni 3 tu vingine vyote vimeziba huu ni mwaka wa 3 kumekua na hali hii.
2. Changamoto ya hostel: Kumekuwa na wimbi kubwa la wanafunzi waliodahiliwa mwaka huu wa masomo hali inayopelekea wanafunzi kukosa makazi ili hali wamelipia hostel kwa kukumbana na Changamoto ya kupangiwa chumba kimoja watu zaidi ya 8.
3. Kuhamishwa chumba ulichopangiwa na kupelekwa kingine(ili aje mtu mwingine)ambacho pia kimepangiwa mtu mwingine na endapo utabaki unapokaa wataletwa walinzi wachukue magodoro hali inayopelekea wanafunzi kulala sakafuni.
1. Ubovu wa miundombinu hasa choo kwa baadhi ya blocks(1 and 3) hali inayopelekea kushindwa kujisaidia na kupata huduma vizuri hasa block 3 Lina wanafunzi zaidi ya 450 lakini matundu ya vyoo vinayofanya kazi ni 3 tu vingine vyote vimeziba huu ni mwaka wa 3 kumekua na hali hii.
2. Changamoto ya hostel: Kumekuwa na wimbi kubwa la wanafunzi waliodahiliwa mwaka huu wa masomo hali inayopelekea wanafunzi kukosa makazi ili hali wamelipia hostel kwa kukumbana na Changamoto ya kupangiwa chumba kimoja watu zaidi ya 8.
3. Kuhamishwa chumba ulichopangiwa na kupelekwa kingine(ili aje mtu mwingine)ambacho pia kimepangiwa mtu mwingine na endapo utabaki unapokaa wataletwa walinzi wachukue magodoro hali inayopelekea wanafunzi kulala sakafuni.