Ni kweli lakini hyo changamoto haijaanza tu kwenye round ya 3 bali toka system yao ilipoanza kusumbua kwenye round ya pili na kutoa maelekezo ya kuwa machine yao inasuasua kwenye kutoa control# kwa wakati ndipo ikatokea hyo system mpya ya kupita tu bila kulipia. Najua unahofu ya kwamba "kama sitolipia majibu yangu hayawezi kurudi" La hasha nduguyngu nkutoe khofu tu,kwa kuwa umekwisha SUBMIT na wamesema wameshayapokea yatafanyiwa kazi,nimewafanyia wengi na wamekwishachaguliwa baadhi yao na wengine wamekosa pia. Kuwa na Amani.Jaman Samahani kwa walioomba chuo cha udom awamu ya tatu je kuna kulipia au ni bure mana ad namaliza application na kusubmit hawajanipa control number wakati usipolipia huwez ingia kwenye kipengele kinachofuata msaada kwa anaeelewa juu ya hiliView attachment 1205908