Udom sasa udini waziwazi

LWAKAPISI

Member
Mar 31, 2011
46
4
Kama ni udini kuitafuna nchi basi serikali ifike haraka UDOM na imalize hili kabla mambo hayajaharibika.Katika uchaguzi ulofanyika chuoni hapa wa serikali ya wanafunzi,tume ya uchaguzi ilipitisha wagombea kwa kupendelea waislam, kila idara.Baada ya hapo hali iliendelea kuchafuka maana siku ya Alhamis usiku wanaharakati chuoni hapa walinasa waraka uliokuwa umeandikwa na waislam wakihimizana kuwa siku ya jana wapge kura wote ili wakiongoze chuo chao(ulisema waraka).Baada ya waraka huo kuonekana huku chuo cha elimu zilianza vurumahi na zikapelekea mwanafunzi mmoja mkiristo kupigwa hadi kushonwa nyuzi nane kichwani.Yote tisa,kumi ilikuwa jana siku siku ya uchaguzi maana kura zimepgwa kidini bila kujali uwezo wa watu maana watu walienda kuchagua kwa kuangalia majina tu,na wakristo licha ya kuteuliwa wachache wote wamepita.Lakini baada ya matokeo kutangazwa wakristo walishangilia kwa pambio za dini hata matokeo yalipokuwa yanatangazwa,mkiristo akitangazwa waliitikia "BWANA ASIFIWE" na mwislam walisema "takbir huyo ni wako"wakimwambia bwana ASALI ISAH ambaye ni mkurugenzi wa tume
Ngazi ya shirikisho yaani rais wa chuo kizima walikuwa wagombea wawili baada ya mmoja "kujiDovutwa"(kujitoa)mida ya mwisho,wagombea hao walikuwa ni :
1.ABUBAKAR BASHE mdogo wake na H.BASHE ila wana udom kama walivyomwambia kuwa yeye ni Rostam group wamempiga chini tena kwa kishindo,pale maskini uccm umemponza maana Udom ya leo na CCM ni maadui
2.GABRIEL DEBORA dada hasiye na jina kabisa ila ndiye kachaguliwa kwa kishindo
 
Kwa waislamu huimizana kuchaguana wakiwa msikitini ni jambo la kawaida ila linapochukuliwa upande wa pili ni udini ila Waslamu wanajisahau kutofautisha uwezo wa mtu kuongoza na imani yake ndivyo inatupelekea kuleta udini.
Kuhusu Bashe anastahili kutokuwa kiongozi sababu alishindwa kusoma alama za nyakati kwani familia yake na uhusiano na CCM na Rostam Aziz Ndicho kimemfanya akose kura na pia dini yake.
 
kesho mpeleke kiongozi wako wa kanisa awe rais, si mshazoea kila kitu nyinyi tu. hamtaki waislam wawe juu. acha udiniwako hapo

teh teh teh waislamu mnapenda kushika palipooza ndo maana hamuendelei. Eti sasa hivi ccm na uislam ni chanda na pete! Teh teh teh, wakipiga hatua wenzenu kwenda mbele nyie ndo mnarudi kule walikotoka teh teh teh. Kwa ufupi iyo kitu (ccm) ni used sana jamani haitowafikisha popote hasa ukizingatia mlivyonyuma kimaendeleo
 
kesho mpeleke kiongozi wako wa kanisa awe rais, si mshazoea kila kitu nyinyi tu. hamtaki waislam wawe juu. acha udiniwako hapo

MS mjumbe hauawi...mbona unakuwa hivi lakini....huyu ni messenger tu katuletea hapa tuone hali halisi ilivyo....shame !!
 
kesho mpeleke kiongozi wako wa kanisa awe rais, si mshazoea kila kitu nyinyi tu. hamtaki waislam wawe juu. acha udiniwako hapo

Hujui na hutaelewa jambo hata siku moja kwa usahihi hasa ukiwa irrational! Pole hayo yameanzia Msikitini yakaishia kwa wote kuwa wa mwisho!
 
Hivi watanzania tunaelekea wapi, kwanini kila sehemu mnazungumzia udini tu... hii ni hatari sana, nawaambia hamfai kuwa chuo kikuu, wakati wenzetu wakenya na waganda wanaongelea maendeleo sisi udini... na mlaaniwe mpaka mshangae!!! :evil:
 
mie nimefanya kuwajuza hali halisi kwahiyo kuniita mimi mdini sion kam kuna ligic!!!AU MLITAKA TUNYAMAZE
 
kesho mpeleke kiongozi wako wa kanisa awe rais, si mshazoea kila kitu nyinyi tu. hamtaki waislam wawe juu. acha udiniwako hapo
Mkileta udini kwenye Elimu ya juu mtaaibika mbaya kwani mko only 20%. Kila siku tunawahimiza hapa kwenye jamvi kuwa geuzeni madrasa kuwa madarasa hamtaki, chagueni mufti ambaye angalau ni form 4 aweze kujua umuhimu wa kujenga mashule nyie mnamng'ang'ania wenu wa darasa la saba. Kaeni chonjo JK akitoka tunatimua akina Mlacha na Kikula kwa kuwa ndio chanzo cha udini. Chuo gani ukiomba kazi kwa jina la kiislam hata kama la uongo unapewa kazi hata kama hauna sifa, halafu mnajidanganye eti hela za waarabu. Kwanza tutaanza kuchunguza kama hakuna masomo ya ughaidi katika hicho mnachoita chuo chenu. Huyo mkristo aliyepigwa avumilie tu kwani wao wamemwaga damu ya Osama wiki hii kwa hiyo wana mihasira yao hao. Udini na uongozi wapi na wapi. We MS mbona hujawahi kugombea hata uenyekiti wa kitongoji?
 
kesho mpeleke kiongozi wako wa kanisa awe rais, si mshazoea kila kitu nyinyi tu. hamtaki waislam wawe juu. acha udiniwako hapo

wewe malaria sugu si ulikuwa banned..ukalalamika kwenye gazeti la mwana halisi...naona kifungo kimeisha sasa..Teh! Teh! Teh!
 
Kama ni udini kuitafuna nchi basi serikali ifike haraka UDOM na imalize hili kabla mambo hayajaharibika.Katika uchaguzi ulofanyika chuoni hapa wa serikali ya wanafunzi,tume ya uchaguzi ilipitisha wagombea kwa kupendelea waislam, kila idara.Baada ya hapo hali iliendelea kuchafuka maana siku ya Alhamis usiku wanaharakati chuoni hapa walinasa waraka uliokuwa umeandikwa na waislam wakihimizana kuwa siku ya jana wapge kura wote ili wakiongoze chuo chao(ulisema waraka).Baada ya waraka huo kuonekana huku chuo cha elimu zilianza vurumahi na zikapelekea mwanafunzi mmoja mkiristo kupigwa hadi kushonwa nyuzi nane kichwani.Yote tisa,kumi ilikuwa jana siku siku ya uchaguzi maana kura zimepgwa kidini bila kujali uwezo wa watu maana watu walienda kuchagua kwa kuangalia majina tu,na wakristo licha ya kuteuliwa wachache wote wamepita.Lakini baada ya matokeo kutangazwa wakristo walishangilia kwa pambio za dini hata matokeo yalipokuwa yanatangazwa,mkiristo akitangazwa waliitikia "BWANA ASIFIWE" na mwislam walisema "takbir huyo ni wako"wakimwambia bwana ASALI ISAH ambaye ni mkurugenzi wa tume
Ngazi ya shirikisho yaani rais wa chuo kizima walikuwa wagombea wawili baada ya mmoja "kujiDovutwa"(kujitoa)mida ya mwisho,wagombea hao walikuwa ni :
1.ABUBAKAR BASHE mdogo wake na H.BASHE ila wana udom kama walivyomwambia kuwa yeye ni Rostam group wamempiga chini tena kwa kishindo,pale maskini uccm umemponza maana Udom ya leo na CCM ni maadui
2.GABRIEL DEBORA dada hasiye na jina kabisa ila ndiye kachaguliwa kwa kishindo

kesho mpeleke kiongozi wako wa kanisa awe rais, si mshazoea kila kitu nyinyi tu. hamtaki waislam wawe juu. acha udiniwako hapo

Hapo penye nyekundu pana maswali mengi zaidi ya majibu, kumbe hiki chuo kinamashindano ya kidini.... mleta mada na wewe una tatizo pia!!
 
:bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange:so sad...udini upo hadi undeground?
 
mjadala mzima ni pumba tupu....

nafasi akipata muislamu ni udini...akipata mkristo ni udini..akiwa muhindi ni ubaguzi wa rangi..akiwa mhaya, mchaga ni ukabila and the list goes on and on..

shame on us na upambavu wetu...:A S cry:

big up to mafisadi maana kinachowaweka pamoja ni common interest(money making) wako from dini tofauti, kabila tofauti na rangi tofauti na ni kwa sababu hiyo wataendelea kututawala kwa vile tumekhiyari ujinga badili ya werevu.
 
chuo umeenda kukua wewe
upo
college ya education ndio
maana mawazo yako yamekaa
ki ualim ualimu 2 Na kama
ungekua social science na juzi
kama
ungehudhuria public lecture ya
prof issa shivji chimwaga hall
usingepost hii status
kabisaa
na mambo kama haya
kuyapost humu ni kukishushia
hadhi chuo watu wanatuchora
wanatuona wajinga kumbe
wajinga mpo wachache
mnaotafuta sifa za
kizamani.ushaona vyuo vingine
wana viherehere vya kupost
humu kwani wenyewe hawana
matukio? Mambo kama haya
yaleteni udom chamber
tuyajadili wanafunzi 2
 
Huko tunakoelekea ni hatari tupu halafu tunajiita eti sisi hapa ni GREAT THINKERS..!! tutafika kweli.
 
kesho mpeleke kiongozi wako wa kanisa awe rais, si mshazoea kila kitu nyinyi tu. hamtaki waislam wawe juu. acha udiniwako hapo
na wewe hapo umembwela, unakubali kweli kampeni zinazoendeshwa kwa waraka wa Kiislamu. Acha Uvivu wa kufikiria, waraka na uchaguzi huru wapi na wapi?
 
katika vilaza hapo chuoni wewe ni kilaza , kwa nini unataka umma husijue madudu ya hapo chuo, kwanza wewe unatakiwa kupingana na hoja na sio kupinga yeye kupost vitu hapo,
naona wewe umeshazoe utumwa wa serikali kuwanyima watu taarifa,
unapomwambi wengine hawana vielele hiyo ni kuongea kama KIBURUDISHO na sio THINK TANKER.
ondoa mipasho hapa, nahisi hata huyo shivji ukumuelewa.
haya masuhala ya DINI yapo inabidi serikali iyafanyie kazi maana wao ndio waasisi kwa kumuita DR SLAA padri hali wakijua yeye ni katibu mkuu wa chadema na sio padri tena, ccm walitumia hilo jina kutuma message kwa waislamu wasimchague lakini hakujua kutakuja kuwa na madhara ya kauli kama hizo, walichokuwa wanataka ni ikulu tu.

chuo umeenda kukua wewe
upo
college ya education ndio
maana mawazo yako yamekaa
ki ualim ualimu 2 Na kama
ungekua social science na juzi
kama
ungehudhuria public lecture ya
prof issa shivji chimwaga hall
usingepost hii status
kabisaa
na mambo kama haya
kuyapost humu ni kukishushia
hadhi chuo watu wanatuchora
wanatuona wajinga kumbe
wajinga mpo wachache
mnaotafuta sifa za
kizamani.ushaona vyuo vingine
wana viherehere vya kupost
humu kwani wenyewe hawana
matukio? Mambo kama haya
yaleteni udom chamber
tuyajadili wanafunzi 2
 
kesho mpeleke kiongozi wako wa kanisa awe rais, si mshazoea kila kitu nyinyi tu. hamtaki waislam wawe juu. acha udiniwako hapo

Ms nini kosa la alieleta hbr mpk kumwambia hvyo?. Otherwise 2jadil madhara ya udin ktk taifa letu kwan 2naelekea kuangamia
 
chuo umeenda kukua wewe
upo
college ya education ndio
maana mawazo yako yamekaa
ki ualim ualimu 2 Na kama
ungekua social science na juzi
kama
ungehudhuria public lecture ya
prof issa shivji chimwaga hall
usingepost hii status
kabisaa
na mambo kama haya
kuyapost humu ni kukishushia
hadhi chuo watu wanatuchora
wanatuona wajinga kumbe
wajinga mpo wachache
mnaotafuta sifa za
kizamani.ushaona vyuo vingine
wana viherehere vya kupost
humu kwani wenyewe hawana
matukio? Mambo kama haya
yaleteni udom chamber
tuyajadili wanafunzi 2

C vema kudharau taaluma ya mwenzio, wote tumefika hapa kutokana na walimu. Unamaanisha Mwl J. K nae hakua na mchango kwa taifa hli?y kila cku tunamquote kwa busara zake, am not a teacher by proffesional bt nawaheshim walimu. M nafanya shughul zangu pale UDOM na udini upo ni dhahr bila ya kificho.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom