UDOM Police Brutality: Haki za binadamu, wanasheria na wanasiasa mko wapi?

GODLOVEME

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
1,640
493
Mashairika ya haki za binadamu, taasisi za kidini, wanasheria na wansiasa pasipo kujali itikadi ya vyama vyao kwa kauli moja waungane na wazazi wa wanafunzi kupinga nguvu kubwa iliyotumika kutuliza wanafunzi wanaodai haki zao tena kwa utaratibu

Mimi kama mzazi wa hawa watoto nilitamni nguvu kama hii itumike kwa wale wanaosababisha wanafunzi wakose ada kwanini tunatumia nguvu ndogo kwenye mambo makubwa kama #escrow , #richmond , #epa. Hawa huwa wanachunguzwa hata kwa miaka mitano lakini wanafunzi na madai yao huwa viongozi hamtaki hata kutafakari juu ya shida zao

KWANINI KUTUMIA NGUVU KUBWA KWENYE MAMBO MADOGO NA KUTUMIA NGUVU NDOGO KWENYE MAMBO MAKUBWA KAMA ESCROW EPA RICHMOND NA MEREMETA

DODOMA 6.jpg DODOMA 1.jpg
 

Attachments

  • DODOMA 4.jpg
    DODOMA 4.jpg
    40.2 KB · Views: 3,541
!
!
madhara ya kusoma chuo cha kata.

Wewe ungekuwa mwanangu ningebadilisha na muuza ndizi mkungu wa ndizi mana unatoka nje ya mada kama maji yaliyojaa karoni yanavyotoka nje ya karo.Wewe umesoma chuo gani kilichotoa kilaza kama wewe.Mwaka huu ntapambana na wewe na matahira wenzako mnaoshindwa kuchangia mada na mnaanza kuponda vyuo vya watu.
 
Wakti napitia hii picha nikagundu kumbe wanfuzi ukiwaweka kiporo wanchacha lakini, waliohusika kwenye wizi kama we #escrow wale hawachachi, labda inaweza kuwa sababu ya watu kuendelea kuwekwa kiporo
 
Aisee, hii ni zaidi ya hatari !!! This is grave violation of human rights. Hao waliovunjwa miguu, ni risasi za moto zimetumika?
 
wakuu hivi ndo tanzania ambayo inaitwa ccm inajivunia kwamba imelata amani na utilivu?
 
Mtoa mada, hebu tufahamishe uhusiano wa picha na tukio la UDOM. Ni kweli hayo ni matokeo ya hao askari wanaodaiwa kwenda kutuliza ghasia?

Tafdahari tunaomba kama siyo kweli, ondoa picha hizi ktk thrd hii na utuwekee maelezo ya kutosha juu ya hayo yaliyotokea.
 
nasikitishwa na habari za uongo wanazoeneza wakuu wa chuo kuwa raisi na wazir mkuu college of humanity tumefukuzwa kaz..sio kweli barua iliyotolewa siyo official letter.

wakuu wamekithiri kwa wizi wa pesa za wanfunzi hadi sasa hakuna aliye pata bima ya afya..ili hali wanafunzi wametoa 100000.na wenye bima wanalazimishwa kutoa hela za bima mara mbili. huu ni wizi na wala hakuna atakaye uvumilia..barua gan ambayo haina muhuri..

sasa tunaelekea ngazi za juu..proffesor mlacha lazima ang'oleweee. kwa ulevi wa madaraka pamoja tunaweza...

Siasa zimeingia hadi kwenye taaluma
 
so pain full ..juu ni uonevu Wa hali ya juu..kwanini serikali hii ya ccm na vibaraka wake hawana huruma jamani.
 
Muda mwingine inakuwa ngumu kuamini, ghafla unaamini na kujawa na simanzi, majonzi na 'hasira' nyingi.
MUNGU UTUREHEMU, WAANGALIE WAHANGA HAO.
 
hivi hawa UDOM i ndo walitoa tamko la kwamba msimshinikize rais kutoa maamuzi ya ESCROW???sasa watoe tamko la kushinikiza uongozi wa juu kumpiga chini mlacha
 
Ndio nchi yetu jamani....nchi ya amani ,utulivu na upendo.....pale watu wanapodai haki zao kwa amani hupigwa na pengine kuuawa kabisa kama Dr.Ulimboka.....ndio TZ sasa
 
NINALAANI UKATILI HUU WA POLISI WA TZ.
Hii haikubaliki kabisa, migomo ya wanafunzi haijaanza leo, huwa haiwi hivi. Au haya ndio matisho ya chama tawala kwa uchaguzi ujao?!
 
nalaani kwa nguvu zote unyama huu uliofanywa na polisi wa serikali ya CCM, NAMUOMBA MUNGU AWAADHIBU ADHABU KALI WALE WOTE WALIOHUSIKA NA UNYAMA HUU
 
Back
Top Bottom