wazirib28
JF-Expert Member
- Dec 14, 2015
- 460
- 275
Chuo Kikuu cha Dodoma kimeendelea kuonesha jinsi kinavyojari wenye kipato cha chini. Kuna kitu kipya kimeleak. Kuanzia mwaka huu kama una mkopo chini ya 100% unaweza kufanya usajili kabla hujalipa ada kwa mkataba maalumu wa kukatwa boom. Njoo usome kijana... usisingizie kukosa ada.
Sample ya mkataba huo hii hapa
Sample ya mkataba huo hii hapa