Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka mwaka huu website yao ilidukuliwa.Wadau naomba mnishauri... Nataka kusoma cybersecurity. Nilikuwa nauliza na naomba mnishauri je UDOM ni chuo kizuri kusoma cybersecurity???
Kama website yao ilidukuliwa unategemea nn?¿?? Ila nenda kasome upate chetiWadau naomba mnishauri... Nataka kusoma cybersecurity. Nilikuwa nauliza na naomba mnishauri je UDOM ni chuo kizuri kusoma cybersecurity???
Kama waliweza kufanya analysis ya gwajima I think wako vizuri sanaWadau naomba mnishauri... Nataka kusoma cybersecurity. Nilikuwa nauliza na naomba mnishauri je UDOM ni chuo kizuri kusoma cybersecurity???
yeah Pale UDOM CIVE wapo fresh asee nenda ukapige bachelor yako broWadau naomba mnishauri... Nataka kusoma cybersecurity. Nilikuwa nauliza na naomba mnishauri je UDOM ni chuo kizuri kusoma cybersecurity???
😂 😂 😂 😂 😂 😂Nakumbuka mwaka huu website yao ilidukuliwa.
All in all what matters ni uwezo wa mtu, kama unapenda hiyo kozi kasome maana chuo hakimfanyi mtu awe vizuri, ni juhudi zako tu ndo zitakufanya uwe vizuriWadau naomba mnishauri... Nataka kusoma cybersecurity. Nilikuwa nauliza na naomba mnishauri je UDOM ni chuo kizuri kusoma cybersecurity???
Ndiyo chuo bora kwa course hiyo hapa Tanzania kwa sasaWadau naomba mnishauri... Nataka kusoma cybersecurity. Nilikuwa nauliza na naomba mnishauri je UDOM ni chuo kizuri kusoma cybersecurity???
Hii ni kweliAchana na vyuo vya kata, utapoteza pesa yako.Degree ya pale ni sawa na diploma ya DIT
Website ya Unique haifungukiNjoo unique i
Achana na vyuo vya kata, utapoteza pesa yako.Degree ya pale ni sawa na diploma ya DIT
Nimesoma UDOM miaka kadhaa imepita, nilivyorudi pale kucheck mambo flani nilkuta mambo yashakua tofauti kabisa na hapo awali back in days/year 2015 huko mambo yalikua mabaya kiasi CIVE na CNMS watu walikua wanasoma kwenye mazingira magumu... Acha kuidharau UDOM kwa sasa iko na materials ya kutosha ni uzembe wa wanachuo tu wenyewe kutokutumia resources zilizopo..Achana na vyuo vya kata, utapoteza pesa yako.Degree ya pale ni sawa na diploma ya DIT
Iyo ni Forensic science ni tofauti kabsaaKama waliweza kufanya analysis ya gwajima I think wako vizuri sana