Udom na siasa za udini

Luiz

JF-Expert Member
May 23, 2011
342
36
Hali katika uchaguzi uliofanyika mwezi wa 5 ,2011 ulitawaliwa na ubaguzi mkubwa wa kidini. Hali hii ilitokana na kupitishwa majina mengi ya waumini wa dini ya Kiislamu kuliko ya wakristu katika kinyang'anyiro cha ngazi mbalimbali chuoni hapa. Hali iliamsha na kuibua hisia za chuki kwa wapiga kura na kuamua kupiga kura kwa kuangalia na kuzingatia udini bila kujali uwezo binafsi wa mgombea. Je tunalipeleka wapi TAIFA LETU. Tafakari
 
Hali katika uchaguzi uliofanyika mwezi wa 5 ,2011 ulitawaliwa na ubaguzi mkubwa wa kidini. Hali hii ilitokana na kupitishwa majina mengi ya waumini wa dini ya Kiislamu kuliko ya wakristu katika kinyang'anyiro cha ngazi mbalimbali chuoni hapa. Hali iliamsha na kuibua hisia za chuki kwa wapiga kura na kuamua kupiga kura kwa kuangalia na kuzingatia udini bila kujali uwezo binafsi wa mgombea. Je tunalipeleka wapi TAIFA LETU. Tafakari

Ndio matokeo ya sera za udini za JK!
 
Lakini kama ni mwanafunzi basi utakuwa unawajua wagombea na bila shaka umewasikia wakijinadi hivyo utapima nani anaweza na nani hawezi. Unapoanza kufikiria kuwa umchague Muislam au Mkristo hapo ndio udini unaanza na wewe mtoa mada huko ndiko unakoelekea. Niwashauri tu... Mawazo ya kuangalia mgombea ana jina la Kiarabu au Kizungu huo ni ujinga na si sifa ya mtu huru kamwe. Fikirieni kwanza nyinyi ni waTZ acheni ujinga wa huyu muislam au mkristo!!!!
 
Lakini kama ni mwanafunzi basi utakuwa unawajua wagombea na bila shaka umewasikia wakijinadi hivyo utapima nani anaweza na nani hawezi. Unapoanza kufikiria kuwa umchague Muislam au Mkristo hapo ndio udini unaanza na wewe mtoa mada huko ndiko unakoelekea. Niwashauri tu... Mawazo ya kuangalia mgombea ana jina la Kiarabu au Kizungu huo ni ujinga na si sifa ya mtu huru kamwe. Fikirieni kwanza nyinyi ni waTZ acheni ujinga wa huyu muislam au mkristo!!!!

ukosawa mkuu! Udini ni mtazamo, mtoa mada anatatizo la kiyatazama mambo kidini zaidi na anataka kuwambukiza wengine ugojwa huo.
 
Hali katika uchaguzi uliofanyika mwezi wa 5 ,2011 ulitawaliwa na ubaguzi mkubwa wa kidini. Hali hii ilitokana na kupitishwa majina mengi ya waumini wa dini ya Kiislamu kuliko ya wakristu katika kinyang'anyiro cha ngazi mbalimbali chuoni hapa. Hali iliamsha na kuibua hisia za chuki kwa wapiga kura na kuamua kupiga kura kwa kuangalia na kuzingatia udini bila kujali uwezo binafsi wa mgombea. Je tunalipeleka wapi TAIFA LETU. Tafakari
Hebu tuwekee wazi. Yaani udini ni kuwemo waislamu wengi au vipi? Kwa mujibu wa twakimu na hali ya siku zote hali huwa tofauti kwenye chaguzi nyengine na harakati nyengine jee hapo napo unakuwa udini au ukafiri? Nafikiri akili yako chafu unafikiri dini ni uislamu tu.
 
tupatie definition kwanza ya UDINI na vigezo ulivyotumia kupima uwezo binafi wa mgombea ili tuende sambamba katika kuchangia
 
Hali katika uchaguzi uliofanyika mwezi wa 5 ,2011 ulitawaliwa na ubaguzi mkubwa wa kidini. Hali hii ilitokana na kupitishwa majina mengi ya waumini wa dini ya Kiislamu kuliko ya wakristu katika kinyang'anyiro cha ngazi mbalimbali chuoni hapa. Hali iliamsha na kuibua hisia za chuki kwa wapiga kura na kuamua kupiga kura kwa kuangalia na kuzingatia udini bila kujali uwezo binafsi wa mgombea. Je tunalipeleka wapi TAIFA LETU. Tafakari


hivi UDINI ni nini hasa, tusiwe washabiki pasipotakiwa ushabiki, ebu mtoa mada tupe mtazamo wako juu ya huo UDINI unaomaanisha hapa, isije kuwa panapoonekana waislam wengi ndio udini lakini kinyume chake si udini, ninachofahamu ni kuwa UDINI katika uchaguzi wa wanafunzi UDOM ulionekana kwa zile college tu zilizokuwa na wagombea waislam wengi wagombea, je huo ndio UDINI, jamani tuacheni ushabiki na pia tukubaliane katika tofauti zake haina maana kuwa wenye kustahili kushika nafasi ni watu wa upande fulani tu na wengine wakiwepo basi ni udini,

hapohapo UDOM, jumamosi ya tarehe 21 may pamefanyika uchaguzi wa chama cha wafanyakazi wa vyuo vikuu tawi la UDOM (THTU UDOM), viongozi wote 25 kasoro mmoja au wawili tu ndio waislam, na waislam waliogombewa walikuwepo lakini walitolewa au fomu zao hazikupitishwa kwa sababu mbalimbali ambazo ni sababu tu za kuwaengua wasiwe miongoni mwa wagombea je hili nalo mnasemaje ni UDINI au sio UDINI, lakini hakuna fujo yeyote iliyotokea wla malalamiko yeyote lakini hali hii ingekuwa ni waislam ndio 20 au japo 10 tu basi lazima kelele za UDINI na JK zingesikika, ifike mahala jamani tukubali kuwa enzi zile za kudidimizana hazipo tena sote tuna haki na nchi hii.

kwa picha hii ninachokiona mimi ni kweli UDOM udini upo na haswa wakristo hawataki kuwaona waislam wakishika nafasi yeyote zaidi wanataka tu wao ndio wawe watawala kama ilivyo mahala pengine pote UDSM, TRA, etc. sote tunahaki jamani mtuvumilie kama tulinavyowavumilia ndio tumeanza tu kujitokeza itabidi mzoe nasi tuna haki ya kuwakilisha.





 
Hali katika uchaguzi uliofanyika mwezi wa 5 ,2011 ulitawaliwa na ubaguzi mkubwa wa kidini. Hali hii ilitokana na kupitishwa majina mengi ya waumini wa dini ya Kiislamu kuliko ya wakristu katika kinyang'anyiro cha ngazi mbalimbali chuoni hapa. Hali iliamsha na kuibua hisia za chuki kwa wapiga kura na kuamua kupiga kura kwa kuangalia na kuzingatia udini bila kujali uwezo binafsi wa mgombea. Je tunalipeleka wapi TAIFA LETU. Tafakari
Hongera JK
JK at work
 
Hali katika uchaguzi uliofanyika mwezi wa 5 ,2011 ulitawaliwa na ubaguzi mkubwa wa kidini. Hali hii ilitokana na kupitishwa majina mengi ya waumini wa dini ya Kiislamu kuliko ya wakristu katika kinyang'anyiro cha ngazi mbalimbali chuoni hapa. Hali iliamsha na kuibua hisia za chuki kwa wapiga kura na kuamua kupiga kura kwa kuangalia na kuzingatia udini bila kujali uwezo binafsi wa mgombea. Je tunalipeleka wapi TAIFA LETU. Tafakari

Wewe ndio mdini namba moja...
 
Sijui JF inawezaje kudhibitisha habari hizi. Kila wakati posts zinazohusu UDOM huwa zinautata kwangu, nachelea kuchangia.
Hali katika uchaguzi uliofanyika mwezi wa 5 ,2011 ulitawaliwa na ubaguzi mkubwa wa kidini. Hali hii ilitokana na kupitishwa majina mengi ya waumini wa dini ya Kiislamu kuliko ya wakristu katika kinyang'anyiro cha ngazi mbalimbali chuoni hapa. Hali iliamsha na kuibua hisia za chuki kwa wapiga kura na kuamua kupiga kura kwa kuangalia na kuzingatia udini bila kujali uwezo binafsi wa mgombea. Je tunalipeleka wapi TAIFA LETU. Tafakari
 
Majuva kanena kweli nami kuanzia sasa najaribu kuwavumilia kama mlivyotuvumilia miaka nenda rudi. Waswahili wanausemi usemao mazoea yana tabu..... mtusamehe wenzetu tulizoea hivyo kwamba nchi hii ni yetu peke yetu wengine ni kuburuzwa tu, ni kama vile wamasai wanavyoamini kuwa ng'ombe wote ni wa kwao. Ndg yangu Luiz tujitahidi kuwavumilia wenzetu pamoja kwamba ni ngumu...tutazoea tu.
 
hali katika uchaguzi uliofanyika mwezi wa 5 ,2011 ulitawaliwa na ubaguzi mkubwa wa kidini. Hali hii ilitokana na kupitishwa majina mengi ya waumini wa dini ya kiislamu kuliko ya wakristu katika kinyang'anyiro cha ngazi mbalimbali chuoni hapa. Hali iliamsha na kuibua hisia za chuki kwa wapiga kura na kuamua kupiga kura kwa kuangalia na kuzingatia udini bila kujali uwezo binafsi wa mgombea. Je tunalipeleka wapi taifa letu. Tafakari

swali; kama wagombea wengi wangekuwa waislamu je??
 
hivi udini ni nini hasa, tusiwe washabiki pasipotakiwa ushabiki, ebu mtoa mada tupe mtazamo wako juu ya huo udini unaomaanisha hapa, isije kuwa panapoonekana waislam wengi ndio udini lakini kinyume chake si udini, ninachofahamu ni kuwa udini katika uchaguzi wa wanafunzi udom ulionekana kwa zile college tu zilizokuwa na wagombea waislam wengi wagombea, je huo ndio udini, jamani tuacheni ushabiki na pia tukubaliane katika tofauti zake haina maana kuwa wenye kustahili kushika nafasi ni watu wa upande fulani tu na wengine wakiwepo basi ni udini,

hapohapo udom, jumamosi ya tarehe 21 may pamefanyika uchaguzi wa chama cha wafanyakazi wa vyuo vikuu tawi la udom (thtu udom), viongozi wote 25 kasoro mmoja au wawili tu ndio waislam, na waislam waliogombewa walikuwepo lakini walitolewa au fomu zao hazikupitishwa kwa sababu mbalimbali ambazo ni sababu tu za kuwaengua wasiwe miongoni mwa wagombea je hili nalo mnasemaje ni udini au sio udini, lakini hakuna fujo yeyote iliyotokea wla malalamiko yeyote lakini hali hii ingekuwa ni waislam ndio 20 au japo 10 tu basi lazima kelele za udini na jk zingesikika, ifike mahala jamani tukubali kuwa enzi zile za kudidimizana hazipo tena sote tuna haki na nchi hii.

Kwa picha hii ninachokiona mimi ni kweli udom udini upo na haswa wakristo hawataki kuwaona waislam wakishika nafasi yeyote zaidi wanataka tu wao ndio wawe watawala kama ilivyo mahala pengine pote udsm, tra, etc. Sote tunahaki jamani mtuvumilie kama tulinavyowavumilia ndio tumeanza tu kujitokeza itabidi mzoe nasi tuna haki ya kuwakilisha.






kumbe wanavyuo wengi wanafikra mgando, na hawajui kutafakari na ndomaana gpa zao za hovyo sana. Lo lo lo...lets bygones remain bygones
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom