UDOM Mambo Yao GoiGoi

MWINDAJI

Member
Aug 13, 2012
8
1
yaani mpaka sasa kuna majina ambayo hayajawekwa kwenye tovuti yao na ndio maana wanafunzi kibao ambao waliochaguliwa UDOM hawawezi kulog in, hivi ict yao ndio tuseme haipo active kwa wanafunzi hawa waliochaguliwa na tcu lkn mwenye tovuti yao haipo inawezekana na mikopo wasipate hawa wanafunzi manake kama hawa wanazingua je huko heslb.com si ndio hatariiiii ... yaani mwaka huu hatariii tupu... du ndugu zangu ninyi mnaonaje?
 
wewe ndio unaonekana hatari!
unajua TCU imepeleka majina vyuoni lini?? na hao ict wa UDOM unajua wanakazi ngapi, wa upload data na barua za wale walio chaguliwa 1st round hapohapo wa upload na majina ya walio chaguliwa 2ns round au unadhani ni ku click enter majina yana display on the website???
Halafu watanzania sijui tunaugonjwa gani wamesha toa taarifa kua majina yata be uploaded mid next week au hujaona hilo tangazo???

kua mvumilivu mkuu Chuo lazima uende, ondoa shaka kijana
 
wewe ndio unaonekana hatari!
unajua TCU imepeleka majina vyuoni lini?? na hao ict wa UDOM unajua wanakazi ngapi, wa upload data na barua za wale walio chaguliwa 1st round hapohapo wa upload na majina ya walio chaguliwa 2ns round au unadhani ni ku click enter majina yana display on the website???
Halafu watanzania sijui tunaugonjwa gani wamesha toa taarifa kua majina yata be uploaded mid next week au hujaona hilo tangazo???

kua mvumilivu mkuu Chuo lazima uende, ondoa shaka kijana

Yaah hapo umenena mkuu,wabongo hawasomi matangazo wanaanza kulaumu tu(patient ni muhimu ktk maisha)
 
hawa udom wanazingua mimi nimesoma tangazo vizuri na jina langu ni miongoni mwa list ya waliochaguliwa udom kwenye website ya chuo lakini nikilog in kunatokea uzinguzi hivi ni wangapi wamefanikiwa kwenye kupata ALIS
 
Kuna baadhi ya programs hazijawekwa,so vumilieni mpaka next week
 
hawa udom wanazingua mimi nimesoma tangazo vizuri na jina langu ni miongoni mwa list ya waliochaguliwa udom kwenye website ya chuo lakini nikilog in kunatokea uzinguzi hivi ni wangapi wamefanikiwa kwenye kupata ALIS

mimi nimepata BED-ICT
 
Tulia ukiwa unapambana na mtandao, hautaki kuburuzwa inakubidi uwe makini ukiwa na hitaji la Kupakua!
 
achen lawama jaman kila m2 atenda chuo, tatzo vijana weng mna haraka na maana mnakosa vtu vitamu... teh teh waone kwanza, me mbona nimepata yangu BCOM.IB.......
 
Back
Top Bottom