UDOM ina jina kubwa sana ila wanaograduate hawana ujuzi wowote

Wapo wanaofanya vizuri katika sekta ya ICT / computer science/Engineering na Telecom..

Ndio maana napendelea kuwashauti pia watu kupata knowledge kutoka vyuo vya nje pia ..huwa inasisdia sana , japo kuwa hata vyuo vya hapa wataalamu wanaofanya vizuri wapo

Tuliowachukua ni waliosomea Computer science bro ni hatari tupu
 
Tatizo theory nyingi kuliko practical. Watu wanafundishwa kukariri kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu. Kuna watu wamemaliza chuo kikuu lakini hawajui hata kufungua email na amesoma couse za introduction to computer . Hii nchi ngumu sana

isee ni hatari tatzo wanafunzi nao hawajiongezi kwenye kujifunza vitu tofaut tofaut kuna google kuna YouTube sehem ambayo utajfunza mengi kuliko hata unayofundishwa
Lakin wapo busy na instagram
 
Huwa nawaambia watu kwamba ipo tofauti kubwa sana kati ya 'proper qualifications' and 'performance'.

Unaweza kuta mtu ana GPA ya above 4 (proper qualifications) lakini kwenye 'performance' akazidiwa na mwenye gentleman's degree (GPA zaa 2 huko). The reason behind ni kwamba kila mtu anajua mwenyewe kwamba anafaulujefauluje; wengine wanatoa penzi kwa wahadhiri, wengine wana-cheat kwenye mitihani n.k.

Lakini pamoja na mambo mengine, ku-arrive kwenye hiyo conclusion kwa kufanya sampling ya graduates 4-5 kwenye ofisi yenu tena possibly wa idara moja haiwezi kutoa majibu sahihi juu ya uwezo wa wanafunzi wote na wa vitizo vyote wanao-graduate UDOM.

Kazi iendelee..

Ok
 
Experience ya kazi haipatikani vyuoni bali katika ajira makazini. Waajiri wengi hutaka watu wenye experience ya miaka kadhaa kwa vile wanajua hilo na wanajaribu kukwepa gharama ya kuwapa experience ya awali.

Lakini lazima wawepo waajiri walio tayari kutoa uzoefu wa mwanzo kwa hawa wahitimu wa vyuo.

Naelewa hilo bora mtu akapikwe huko then nikimuajiri ni kufanya kazi tu
 
Hao wenye experience ya 3yrs,walizaliwa nayo?vyuoni hawafundishi uzoefu!acha ujinga,huwezi kumchukua Dokta aliyesomea upasuaji chuo leo,fresh kabisa ukampereka akafanye operation,lazima afanye mafunzo,internship chini ya wabobezi Ili ajenge uzoefu,kila taaluma ina huo utaratibu,duniani kote,wape nafasi acha mbwembwe,hakuna aliyezaliwa anajua.
Hao vijana sio Bill gate,au Elon musk,hata wewe sio,.
Kwa ufupi cheki mahojiano ya Ngulj wa tasnia ya habari Chalres Hilary alipohojiwa Azam tv.alipoanza kazi radio tz,miaka 40 iliyopita,hakupewa nafasi ya kutangaza,aliwekwa chini ya mafunzo kazini kwa miezi zaidi ya sita!!!
Amewahi kuwa BBC,sasa hv ni mkurugenzi wa mawasiliano wa SMZ!!

Bora wakapikwe huko then ndo niwaajiri
 
Mwaka 2013 nilikutana na vijana waliomaliza nao duh akilini walikuwa weupe sna hata kutumia computer kwa skills ndogo ndogo Ni Kaz kweli wengi wanajifanya wanasiasa
 
Mwaka 2013 nilikutana na vijana waliomaliza nao duh akilini walikuwa weupe sna hata kutumia computer kwa skills ndogo ndogo Ni Kaz kweli wengi wanajifanya wanasiasa

Kazi sana unamwelekeza mtu hadi unachoka
 
Tuliowachukua ni waliosomea Computer science bro ni hatari tupu
Yes wanafunzi wa wanaosomea Tehama kwa ujumla inabidi kujiongeza sana.. na kusoma kila siku, imagine unasoma low level langage kama Pascal, unakuja huku mtaani unapewa project za python language
 
Sijajua hao vijana wana muda gani hapo? lakini performance ya mtu huwezi kuipima siku ya kwanza kazini, wape muda waelewe kazi kwanza.

Hata wewe mwenyewe huwezi kukielewa kitabu vizuri mara ya kwanza unapokisoma, lazima ujipe muda kidogo ndo ukielewe.

Hata maisha huwezi kuyapatia mara moja tu, unahitaji muda kiasi ili uyapatie.
 
Kwny huu uzi wako hujaridhka umeamua kuja kuanzisha uzi mpya

 
Kwa hiyo You-Do-M siku hizi ni sawa tu na uwanja wa vita usioleta ushindi? Mbona mnamkosea heshima Bi Mikopo nyie vikurukuta wa bara?
 
Back
Top Bottom