UDOM ina jina kubwa sana ila wanaograduate hawana ujuzi wowote

nikiwa nafuatilia mitaala ya Vyuo vingi vya ya Ulaya, nilikuta wanafundisha professional course; yaani mtu anafundishwa namna ambavyo atafanyia kazi anachokisoma hivyo akitoka chuoni hata kama hajafanya practical, yupo tayari (professional) kufanya kazialiyoisomea kwa zaidi ya 85%
Hapa kwetu vyuo vingi vinafundisha kwa mfumo wa academic course ina maana anayeweza ku kremu ndiye anafaulu; Practical zenyewe za kuunga unga; Kimsingi academic course hazipo applicable kufanyia kazi bali kujibia mitihani

Yeah
 
Maybe mzumbe ya kuanzia 2015 kurud nyumba
Ila mzumbe ya miaka hii huwez kucompare na miaka hiyo ya nyumba
Siku hizi had maboga yanaenda kusoma mzumbe
Mbona products husika wameshindwa kuzindua umeme JNHPP kule Mto Rufiji na treni ya SGR? Taaluma yenu ipo tu kwa ajili ya kuposti selfie Fesibuku na Insta?
 
Elimu kama uvuvi si kila mtu atatoka na samaki wakimaliza 100 unawwza kukuta 10 tu ndio wapo vizuri sana 40 kiasi 50 wengine wamepata cheti lakini maarifa kidogo inategemea na mtu husika
 
Elimu kama uvuvi si kila mtu atatoka na samaki wakimaliza 100 unawwza kukuta 10 tu ndio wapo vizuri sana 40 kiasi 50 wengine wamepata cheti lakini maarifa kidogo inategemea na mtu husika

kumbe
 
UDOM ni janga Ia kitaifa. Chief Hangaya soon atakwenda kupewa PhD pale.
Yes. We need a well-educated president! Haiwezekani president hana udokta, then anawaongoza na kuwaajiri watu wenye taaluma zao. Shame! She should work on her PhD as soon as possible. Labda tozo zitafutwa na mikopo ya michongo na madili haitagharikishwa tena nchini.
 
Umekutana na mtu mmoja unachafua graduates wote (generalisation),hii sio sawa.
Kama ulimwona hajui,ungemuelekeza,hakuna anayejua kila kitu,yamkini hata wewe yapo ambayo huyajui hapo ofisini.
Relax,kunywa maji yashuke.
Udom ni chuo bora sana,kama unastaajabu ya Udom sijui itakuaje kwa vyuo vingine
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom