John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
Acheni ushamba na upofu b4 akina membe walikuwa wakiongoza wakiristo wengi wengi 2,ila waislamu wali2lia hakuna aliyesema ubaguzi wa dini coz sifa za kuongoza walikua nazo though walifanya upendeleo kwa saana 2 mpaka wa2 wakaamini dat waislamu wako nyuma kielimu bt sasa wako muslims mnapiga domo MNACHOTAKA MPEWE NINYI FAVOUR ZA BURE, hiko kitu HAkUNA! Mwenye sifa na vigezo ndoatapewa hata mkiwa ninyi ni wengi o cc,mbona last year waliopata scholarshp wengi ni christians mlickia muslimz wakileta mambo ya ajabu? ACHENI KUCHOCHEA VURUNGU MNACHOTAKA HASA NI NINI? KUWENI WAZI MSIPITIE VICHOCHOroni
na jakaya anatimiza wajibu wake kama raisi hii ni serikali ya kidemokrasia wananchi wanatakiwa kupewa haki zao za msingi mojawap ni haki katika kuabudu,xo mahakama ya kadhi ni katk haki ye2 ya msng n co udini kama msemavyo,je unataka 2cpewe haki yetu?, then NINYI NDIO WENYE UDINI.
Mapovu mama