Udini Wizara ya Elimu

Status
Not open for further replies.
Acheni ushamba na upofu b4 akina membe walikuwa wakiongoza wakiristo wengi wengi 2,ila waislamu wali2lia hakuna aliyesema ubaguzi wa dini coz sifa za kuongoza walikua nazo though walifanya upendeleo kwa saana 2 mpaka wa2 wakaamini dat waislamu wako nyuma kielimu bt sasa wako muslims mnapiga domo MNACHOTAKA MPEWE NINYI FAVOUR ZA BURE, hiko kitu HAkUNA! Mwenye sifa na vigezo ndoatapewa hata mkiwa ninyi ni wengi o cc,mbona last year waliopata scholarshp wengi ni christians mlickia muslimz wakileta mambo ya ajabu? ACHENI KUCHOCHEA VURUNGU MNACHOTAKA HASA NI NINI? KUWENI WAZI MSIPITIE VICHOCHOroni
na jakaya anatimiza wajibu wake kama raisi hii ni serikali ya kidemokrasia wananchi wanatakiwa kupewa haki zao za msingi mojawap ni haki katika kuabudu,xo mahakama ya kadhi ni katk haki ye2 ya msng n co udini kama msemavyo,je unataka 2cpewe haki yetu?, then NINYI NDIO WENYE UDINI.

Mapovu mama
 
Kama hayo ndiyo yanayofanywa basi hata mi imeniuma sana,na kimsingi ni wakati sasa wa kujirekebisha kwa viongozi wa wizara hii ili watanzania wafaidike kutokana na urafiki uliopo kati ya tz na nchi zinazotoa scholarship hizo. Pia Rais JK afanye uchunguzi na achukue hatua ya kupangua wizara nzima na kuweka viongozi wapya wenye dini tofautitofauti ili kuepusha hisia hizi za udini.
 
Unaongea bila facts za kisom,na uenda ukaw
a umesikia vijwen wahun wakiongea,ni
ukwel usiopingka kwamba wakristu ni weng mno ktk wizara
na taasis zake kw miaka mingi mno,lkn leo akionekana tu muislam tatzo,mnaem
wita baba wa taifa ndio alkuwa mdin wa kupindukia aliyetumia
serkal km nyenzo yakuunawirisha UKRISTO NA WAKRISTO
{ref:kanisa katoliki na siansa za tanganyika
by. Padre John Sivalon}
Sasa tunasema kwam
ba WAISLAM wataend
elea kushka nyazifa
mbalmbali...
 
Mi ni mgeni katika mjadala huu wa hii topic ya udini, lakini haraka haraka naweza sema mtenda akitendewa huhisi kaonewa. Kama ni kweli JK ana udini, basi nenda kaangalie Muhimbili, TRA, na taasisi zingine. Mi nadhani ni bora tuweze kuwa wakweli, watanzania hatutaki kukubali suala la udini kama lipo au halipo. Waingereza wanasema dont give a problem another face if you need to solve it. Angalia Nigeria, wameweza kuona suala la udini lipo na wakaweza kuwa na utaratibu wa migawanyo ya ajira, elimu na kadhalika kwa kufuata uwiano wa kidini. Hii sio kuwa na udini, ni kuwa mkweli na wala si mnafiki, tuache unafiki, udini upo lakini hatukubali, JK alipohutubia bunge wakati fulani alisema uchaguzi umetuachia mpasuko wa udini. Watu wakainuka na kusema ni muongo wengine wakesma atuonyeshe huo uduini na kadhalika. Nilimshangaa sana yule mama Ananelea Nkya, ni msomi lakini hajaelimika, kwani faida ya elimu ni kuweza kutumia katika kutambua masuala hata ya kimazingira, lakini yeye alikurupuka na kusema tofauti na JK. Udini upo na tuingize kwenye katiba jinsi ya kuishi katika hali hii ya dini mbalimbali, ikiwezekana tuweke mgawanyo wa vitu kama ajira, elimu na kadhalika kufuatana na uwiano wa kidini. Ndipo hapa sasa tutataka sensa ya ukweli, ili kuweza kujua idadi za kweli ili migawnyo iende sawa. Hii ndio kisayansi na kibinadamu, hakuna jinsi nyingine ya kutibu udini zaidi ya kuutambua upo, na kuweka utaratibu wa kuishi nao.
 
Mbna miaka ya nyuma hamkuja kusema waislam nao watizamwe wako wachache serikalin mlituona wapumbavu tusio soma ss tumesoma hamtaki tukapata nafac nzuri,je unajuaje kama huyo bwana hata mckiti anaujua au ndio yamekua ya kuangalia majina basi tunapata muislam na mkristo,wKristo wengine hawajua hata milango ya makanisa yao na waislam wengine vile vile mm hakuna mtu aliyenifata akaniambia kazi hii nyumba maisha haya sababu ww n muislam hvyo acha kuongea suala ambalo huna hakika au ambae n miongoni mwa waliokumbwa na kuachwa kuchaguliwa na wanacfa waje watuambie with facts nani kachaguliwa nani kaachwa mwenye cfa kama n kujuana pia tuwekane wazi ipatikane solution ila kukiwa na ushaidi hapo tutashinda vita ya udini na kupata majibu mazur,binafc nakerwa na hizi mambo za udini maaana hata kwenye family mama muislam mjomba mkristo sasa tutavunja mpaka family zetu kwa udini tuwe makini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom