Pundamilia07
JF-Expert Member
- Oct 29, 2007
- 1,439
- 58
kwani nyerere alitokea wapi?
mie namkumbuka nyerere aLIJIFANYA muislam naye na kutoa salm aleikum
historia fupi alikuja kusoma na kutoka kwao na baadaye alipopata wenyeji alisilim na kuwa muislam na baadaye akarudi ukatoloki.
watoto watabishana hapo lakini wakawaulize babu zao
kwani historia sio kitabu cha zenj karume kazaliwa mwera.
hata yesu basi baba hajulikani lakini mama anajulikana maryam
ndio akaitwa issa bin maryam.
lakini namsif baba wa t. aliwaleta wazee wake wote. akawanunulia shamba.
kama viongozi wa smz waliponunua mashamba wakasema hapa ni asili yao wakati wakiwa hawana wazee.
hata mukiwaona waislam wamewekwa basi hao ni watumwa wa wawakiristo
lakini jamaa zetu wamejawa na kasumba ndio kukawa na makundi tele. lakini wote wakiristo
hata mzee wa ruhsa naye mkiristo
panya akitaka jina hujipitisha pitisha!!!
panya huyoo !! panya huyoo !! tutasema kwa nguvu...na yeye atafurahi...
.....MWAKA 2005...cuf walipigiwa kelele sana ....!!!.. OOH CUF WADINI ,,..CUF WADINI...Kumbe wapi bwana siasa ..tu ...
Wasomi jiulizeni kwa nini CUF inaonekana kupungua nguvu????
i AM OUT!!
Old Wine n New Bottle...!Cuf ndio chama chetu.
mki taka kila kitu kiwe 50-50 basi itakuwa kazi. Wakristo na Waislamu wata taka nafasi nusu kwa nusu, wanaume na wanawake wata taka nafasi nusu kwa nusu, wabara na wazenji wata taka nafasi nusu kwa nusu na makabila yote wata taka 50-50. Can we fit in all these demands if they arise?
JAMANI NISAIDIENI CCM NI CHAMA CHA KIDINI?
MWNYEKITI WAKE NI MWISLAMU PAMOJA NA KATIBU WAKE
MWENYEKITI WA UMOJA WA WANAWAKE TANZANIA NI MWISLAMU
MWENYEKITI WA UMOJA WA VIJANA NI MWISLAMU
MWENYEKITI WA JUMHIA YA WAZAZI CCM NI MWISLAMU
Tuseme ndani ya chama hiki wakristo hawana uwezo hapa pana ajenda ya siri
JAMANI NISAIDIENI CCM NI CHAMA CHA KIDINI?
MWNYEKITI WAKE NI MWISLAMU PAMOJA NA KATIBU WAKE
MWENYEKITI WA UMOJA WA WANAWAKE TANZANIA NI MWISLAMU
MWENYEKITI WA UMOJA WA VIJANA NI MWISLAMU
MWENYEKITI WA JUMHIA YA WAZAZI CCM NI MWISLAMU
Tuseme ndani ya chama hiki wakristo hawana uwezo hapa pana ajenda ya siri
Mkuu,
Hayo mambo ya CCM ni wana-CCM wenyewe, kama wao hawasemi iweje uwasemee? Na endapo wewe ni mwanachama wa CCM basi unajua wapi kwa kuyapeleka malalamiko yako.
Mimi sioni tatizo katika hoja yako kwani hapo awali ilikuwa hivi na mambo yalikuwa kama kawaida.
In short CCM si msikiti tukaanza kutafuta Imam au si kanisa tukatafuta Mchungaji.
Kukusaidia zaidi, Mh Sofia Simba si mwislam kama unavyodai
Hata hivyo hapo awali ilikuwa hivi:
MWNYEKITI WAKE NI Benjamin PAMOJA NA KATIBU WAKE Phillip
Makamu Mwenyekiti Bara: John
MWENYEKITI WA UMOJA WA WANAWAKE TANZANIA NI MWISLAMU Anna
MWENYEKITI WA UMOJA WA VIJANA NI MWISLAMU Emmanuel
MWENYEKITI WA JUMHIA YA WAZAZI CCM NI MWISLAMU Abihud
Give me a break!
Kwa mtu mwenye nafasi yako sikutegemea kuwa una mentality hizi
mbona hakuna anayelalamika kuhusus udini CHADEMA?
au mbona hakuna anayesema kitu kuhusu CHADEMA as chama cha watu wa chagga?
wampinge nani sasa? maana wote wanashinda msikitini na lao moja!
Ukweli kuwa kuna influence ya mwenyekiti wa chama kwenye baadhi ya position, kama watu wake ni waislamu basi ndio hivyo tena
Pia si siri kuwa JK amejaza 'watu wake' katika nafasi nyingi muhimu, sipati piacha kama ingekuwa kinyume chake. Lakini world wide inajulikana kuwa wakristo they do not mind wala ku-care, wao na mambo yao!
thats how we are, so kama mtu anataka JK ahukumiwe kwa hilo, kwa kifupi wakristo hawana muda huo, na hakuna atakayekusikiliza
Game Theory = Pundamilia = Rostam Azizi
panya akitaka jina hujipitisha pitisha!!!
panya huyoo !! panya huyoo !! tutasema kwa nguvu...na yeye atafurahi...
.....MWAKA 2005...cuf walipigiwa kelele sana ....!!!.. OOH CUF WADINI ,,..CUF WADINI...Kumbe wapi bwana siasa ..tu ...
Wasomi jiulizeni kwa nini CUF inaonekana kupungua nguvu????
i AM OUT!!
Mkuu,
Hii equation sijaielwa vizuri, unaweza kunielewesha tafadhali?
Yaani hao watu watatu utafikiri wametoka tumbo moja. Tehetehetehetehetehetehe
Mbona umesahau katibu mkuu wa UMOJA WA WANAWAKE aliyeteuliwa hivi karibun HASNAT MWILIMA mwislam
MEYA WA JIJI- ADAM KIMBISA NI MWISLAM
MSAIDIZI MEYA-AHMED MWILIMA NI MWISLAM
panya akitaka jina hujipitisha pitisha!!!
panya huyoo !! panya huyoo !! tutasema kwa nguvu...na yeye atafurahi...
.....MWAKA 2005...cuf walipigiwa kelele sana ....!!!.. OOH CUF WADINI ,,..CUF WADINI...Kumbe wapi bwana siasa ..tu ...
Wasomi jiulizeni kwa nini CUF inaonekana kupungua nguvu????
i AM OUT!!