Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Huwezi kuvuruga utaratibu bila utaratibu. Kwa swala korosho, mbaazi na democracy. Maghufuli alikosea big timekangomba walikuwa wanadhulmu wakulima. idea ya dr. magufuli ilikuwa njema tu lakini utekelezaji wake ulikuwa mgumu sana kutokana na kile alichokuwa anakiongea kila siku bila watu kukitilia maanani: 'vita ya kiuchumi ni ngumu'
Ukweli lazima usemwe Magufuli alikuwa kiongozi mzuri....mitanzania ukiichekea hakuna kitu utafanya.
Magufuli alikuwa kila wakati anasema "NIOMBEENI", baada ya hapo anaua watu, ana dhulumu, anasema uwongo na anaiba fedha za Watanzania. Watu kweli WAKAMUOMBEA afe na apotee. Ogopa sala za watu wengi waliodhulumiwa wakiomba kwa pamojaSio rahisi mijizi impende magufuli. Sema kadili uwezavyo ila yule mtu huwezi mchafua kwa maneno mabaya.
Asante mungu kutuletea chuma kilichonyoosha majizi yote.
Ila magufuli kawanyoosha mpaka hamchoki kumsema?
Mungu wabariki "wale watu walee" wanaomchukia magufuli nao uzao wao utoe rais tuone nae atanya yapi?
Tunataka vitendo sio maneno.
Hela zipi alizoiba Magu....Mjinga kama wewe,
Unaiba hela za watu halafu unasema alikua kiongozi mzuri.
Pyuuuuuu
Uzuri Mungu hakumpa nafasi ya kuzifaidi . Ameyacha watu wazitapanye.Hela zipi alizoiba Magu....
usiwe bendera fata upepo utatikitwa kama mtoto wa kike
Wewe unafikiri mtu anaehatarisha usalama wa nchi dawa yake ni ipi?, bira hicho kufanyika,mauaji ya kibiti yasingekona,na nyie ndio mlikuwa mnashangiliaSisi ni tofauti , hatufungi Internet Bali tunakufunga kwenye "likiloba" na kukutupa huko.
Au unakula shaba zaidi ya 30.
99% of antmagufuli wanatumia speculation ama assumption ama assuming ama hearsay ama mihemko, ama chuki waliyolishwa ama ujinga ama wahanga wa mifumo hewa ama ushabiki... Lakini sio facts.Hela zipi alizoiba Magu....
usiwe bendera fata upepo utatikitwa kama mtoto wa kike
Who was a Chairman of CCM?Magufuli was a genius.
Magufuli was a good person.
Magufuli was not a dictator, CCM is the real dictator.
enough said.
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
ila huyo hayupo tena ila CCM bado ipo.. ndo mana nasema CCM is the real dictatorCcm ndio huyo sasa
kama huo uhusiano ABC ni kweli basi hii blame game wanayofanya CCM ni upuuzi.Who was a Chairman of CCM?
If A = B and B = C, then A = C.
Walinyamazishwa wangefanya nini? Hadi viongozi wakuu wastaafu waliambiwa "waache kuwashwawashwa" Hivi huamini kwamba jamaa alikua mbabe? Dictator?kama huo uhusiano ABC ni kweli basi hii blame game wanayofanya CCM ni upuuzi.
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Dictator ni mtawala asiyeheshimu katiba na sheria za nchi. Unapaka rangi upepo!Wiki iliyopita serikali mpya ya Zimbabwe iliamua kufunga upatikanaji wa intaneti nchini humo kama malipizo ya maandamano ya watu kupinga upandaji wa bei ya mafuta....
Dictator hakubaligi kuachia madaraka. kati ya CCM na Magu nani hataki kuachia madaraka?Walinyamazishwa wangefanya nini? Hadi viongozi wakuu wastaafu waliambiwa "waache kuwashwawashwa" Hivi huamini kwamba jamaa alikua mbabe? Dictator?
Panua wigo, udikiteta wa Magu haupimiki kwa kigezo kimoja kama hicho, udikiteta wa magu ulikuwa all round, na kibaya zaidi hakuthamini uhai wa binadamu. Mauaji, ukatili wa waziwazi, unyang'anyi na uporaji, kuminya demokrasia, utawala msonge na uchafu mwingine mwingi! Akaigeuza Nji kama kampuni ya baba yake!Wiki iliyopita serikali mpya ya Zimbabwe iliamua kufunga upatikanaji wa intaneti nchini humo kama malipizo ya maandamano ya watu kupinga upandaji wa bei ya mafuta...
Tatizo upinzani wanataka wawe kambale na madevu kama serikali. Serikali wakisema twende huku lissu na mbowe wanasema geukeni huku eti ndio uhuru wa maoni? Serikali ndio dola ina majeshi lazima itawageuza watu kuelekea chama chenye ridhaa ya wananchi kinavyotaka.Wiki iliyopita serikali mpya ya Zimbabwe iliamua kufunga upatikanaji wa intaneti nchini humo kama malipizo ya maandamano ya watu kupinga upandaji wa bei ya mafuta.
Hapa Tanzania kuwekuwepo na kila aina ya lawama kwa utawala wa Rais Magufuli.
Rais Magufuli keshaitwa kila aina ya majina. Jina ambalo limekuwa likijirudia rudia ni ‘dikteta’.
Nikiri kuwa hata mimi mwanzoni mwanzoni mwa utawala wake kuna mambo sikuyapenda na niliutumia huo utambulisho wa ‘dikteta’ kuelezea kutopendezwa kwangu na baadhi ya mambo .
Lakini kwa kadri siku zinavyokwenda, yajiriyo hapa nchini na nje ya nchi, yananifanya nianze kujiuliza kama ni jambo sahihi kumwita Rais Magufuli dikteta.
Kuna watu humu mitandaoni wanapenda kulalamika kuwa eti Tanzania sasa hivi hakuna uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa kujieleza.
Mara nyingi watu hawa hutoa malalamiko yao kupitia mitandao ya kijamii.
Sasa kilichotokea huko Zimbabwe wiki iliyopita kimenfanya nijiulize upya kuhusu huu udikteta wa Rais Magufuli.
Hivi ni lini hapa Tanzania tumewahi kufungiwa kabisa huduma ya intaneti kutokana na maandamano au sababu ingine yoyote ile?
Kilicho ironic ni kwamba hao wakosoaji wa Magufuli kuhusu uminywaji wa haki za kidemokrasia za kutoa maoni na kujieleza, hutumia intaneti kutoa maoni yao wakiwa hapa hapa nchini.
Huyu Magufuli ni dikteta gani anayeruhusu watu wamkosoe, kumpinga, na hata kumtukana huko kwenye mitandao ya kijamii lakini hachukui hatua kali za kuifungilia mbali intaneti kama alivyofanya Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ambaye kaingia madarakani majuzi tu hapa?
Watanzania wakati mwingine huwa tunabweteka sana na uhuru tulionao!
Ukishagusa nafasi ya urais ...kuwafunga baadhi ya watu midomo ni jambo lisilo epukika duniani kote.Panua wigo, udikiteta wa Magu haupimiki kwa kigezo kimoja kama hicho, udikiteta wa magu ulikuwa all round, na kibaya zaidi hakuthamini uhai wa binadamu. Mauaji, ukatili wa waziwazi, unyang'anyi na uporaji, kuminya demokrasia, utawala msonge na uchafu mwingine mwingi! Akaigeuza Nji kama kampuni ya baba yake!
JK alikuwa na mpaka sasa anawashwawashwa... Na Samia akijichanganya mkwele hachelewi kumpanda kichwani kwa kisingizio cha u mentor. Mpango hana say zaidi ya kufuata maelekezo ya boss... na vile mnyenyekevu atakuwa anakimbia kimbia tu.Walinyamazishwa wangefanya nini? Hadi viongozi wakuu wastaafu waliambiwa "waache kuwashwawashwa" Hivi huamini kwamba jamaa alikua mbabe? Dictator?