MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 19,993
- 34,867
Kuna watu wanadhani vita ikizuka watakuwa wanashuhudia kupitia tv kama mechi ya mpira!
Jua kama ni kijana mwenye afya njema utakwenda mstari wa mbele kwa lazima!
mnajua vita ya uganda tulijiandaa kwa miaka mingapi?
mnakumbuka ugali wa Yanga? Vita si lelemama! tujadili kwa busara ili tuwe mfano gharama ya vita ni kubwa na always Vita ni last option kama una akili nzuri!
Jua kama ni kijana mwenye afya njema utakwenda mstari wa mbele kwa lazima!
mnajua vita ya uganda tulijiandaa kwa miaka mingapi?
mnakumbuka ugali wa Yanga? Vita si lelemama! tujadili kwa busara ili tuwe mfano gharama ya vita ni kubwa na always Vita ni last option kama una akili nzuri!