Udikteta wa Kagame usithubutu kuichezea Tanzania

Udikteta wa Kagame usithubutu kuichezea Tanzania

Status
Not open for further replies.
Pamoja na hayo inabidi watanzania tukubali tu kwamba Kikwete ni rais wa hovyo asiyejua mahusiano mema na nchi jirani. Alichobakiza ni kuwalipua kwa mabomu wapinzani nchini kwake na kutembeza bakuli la ombaomba nchi za nje. Ni vema amalize muda wake aishie, asije akaiingiza nchi yetu katika balaa!!
 
Tunataka Rwanda yote iwe inaongea Kiswahili tupu pale naona huyu kagame ndio anatuwekea usiku akishaondoka itakuwa kama mkoa tu wa Tanzania.
Kuna watu Tanzania uko vijijin hata hawajui kama kiswahili ni lugha ya taifa,lugha inayopigiwa upatu lakin mashuleni lugha ya kufundishia kingereza,interview maofisin kingereza,yani tanzania hamna jipya zaidi ya njaa zinawasumbua.
 
Amiri jeshi atakayeamrisha vita hivi atakwenda yeye.Mnajua uwezo wa Rwanda ki-silaha??? au mnapima kina cha maji kwa kijiti??? usiombe vita, nchi yetu kwa sasa hatuna umoja wa kuweza kupigana vita, kwanza polisi hawana mahusiano na raia, utategemea leo watanzania watoe michango kwa ajili ya vita??? Naona wengi mnashabikia hamjui madhara ya vita, vita vya mwaka 1979 wakazi wa kanda ya ziwa mashahidi, tulipata mateso tulitakiwa kuchanga kila kaya ng'ombe mmoja, wenye mabasi ilibidi mabasi yasafirishe wanajeshi, wenye vituo vya mafuta walitakiwa kutoa mafuta bure.

Kama watanzania tumesahau, mimi nitawashangaa.Ni gharama ndogo kujenga mahusiano na Rwanda kuliko gharama ya kupigana vita.Mshishabikie kabisa.
Eti jeshi la rwanda ni makomando.. ooh unajua uwezo wake wa silaha; kwani wao wanajua uwezo wetu wa silaha?
Hatuhitaji vita ila dikteta kagame na jeshi lake la majasusi wa kitutsi wajue hatuko tayari kucheza ngoma yao. Tutawaambia kweli na pia kujihami na hila zao. Kama wanataka kupigana kwa kuambiwa kweli itakua wanadhihirisha jinsi walivyo watu wa ajabu.
 
Mburula wee, si unakumbuka iddi amina alivyoleta fyeko tulimkung'uta hadi akakimbia nchi jwtz wakaingia kampala. Bahati mbaya msafara wa mamba na kenge wanakuepo kwa hivyo tukambeba museveni na watutsi wenzake kuitwaa uganda na baadae rwanda.
Tangu lini bwattyboy akaingia vitani labda ukafanye biashara,mabom ya goms yalikukimbiza hadi taifa uku ukiitelekeza familia,mdomo unauza sana,idd amin yule,basi wa leo peleka pua yako Rwanda basi tufanye historia
 
Watanzania,
Bado hatujafika huko kuanza kuomba vita! Tuheshimu diplomasia na tupunguze maneno makali!
Tunawaongezea tension za bure viongozi wetu.
Tujadili kwa kuheshimu diplomasia maana hatujavunja uhusiano na Rwanda na bado tunashirikiana kwa mengi.
Tuwe mfano wa busara!
 
Tanzania tupo bize tunajenga nchi yetu.

Barabara za lami kila kona, miradi mikubwa ya maji Lake Victoria, Bomba la gesi Mtwara hadi Dsm, tumegundua Uranium, tuna makaa ya mawe ya kutosha kutengeneza umeme, Bandari ya Bagamoyo, Bandari ya Tanga, Bandari ya Mtwara nayo inafufuka. Soon tutaanza kuuza gesi kwa jirani zetu kutokea Mtwara. Barabara za Dar zinafanyiwa marekebisho, Mradi wa magari yaendayo haraka, Hospitali kubwa ya rufaa kujengwa Luguruni n.k

Mi naona Kagame anatupotezea muda tuweke focus yetu kwenye kukamilisha hii miradi.

Miradi karibu yote hiyo kwa mikopo wakati umesema tuna madini...gas etc

Issue ya.kagame hata mimi nakuunga mkono ila utekelezaji wa hiyo miradi kwa mikopo ambayo hatujui hata masharti yake sikuungi mkono mkuu
 
Tangu lini bwattyboy akaingia vitani labda ukafanye biashara,mabom ya goms yalikukimbiza hadi taifa uku ukiitelekeza familia,mdomo unauza sana,idd amin yule,basi wa leo peleka pua yako Rwanda basi tufanye historia
Rwanda imevamia congo mara mbili kwa kisingizio cha kuangamiza ex FAR. Kama jeshi la rwanda hodari wa vita mbona bado ex FAR iko congo tena kwenye mpaka na rwanda hadi leo. rwanda inawanyasasa wakongo kuingamiza ex FAR wakati wenyewe wameshindwa. Wamebakia kuua ovyo wahutu na wakongomani na kupora congo mali asili yake.
 
Mimi nashangaa sana wanaofananisha Kikwete na Kagame.

Kagame unaweza kumfananisha na Museveni sio Jk. Sisi tunafahamu JK muda wake unaisha mwaka 2015 nani anajua Kagame anamaliza lini muda wake?

Ha ha ha umenifurahisha sana
 
kwa hali ilivyo sasa sidhan kama ni halali kuidharau nchi ya kagame , simply because vyombo vya usalama viko busy kuisaidia ccm kubaki madarakani.

kama mambo ya kiaribika na tunataka kushinda , basi vyombo vya dola lazima viache uhasama wa kisiasa dhidi ya wananchi.
 
Ngoja kwanza tuishike vizuri mashariki ya congo iwe chini yetu!! Rwanda itakuwa kati, burundi yeye ni mwenzetu hawezi kufurukuta, tutamwachia eneo dogo la kutorokea kwa M7 basi. Huku kwingine tutafanya tunavyotaka!!

Naona mnapenda sana vita.

Nyie mtakuwa mmezaliwa baada ya vita ya Kagera.

Hamjui implications za vita zaidi ya kupayuka payuka ovyo tuu.
 
Rais Dikteta Kagame wa Rwanda ameanza chokochoko kama zile allizofanya Dada Amini miaka ya mwishoni mwa sabini,Amini alianza kwa kurusha madongo kwa Mwalimu kama anavyofanya Dikteta Kagame,Kagame ameenda mbali na kumuita Rais wetu mjinga kwa ushauri wa kizalendo alioutoa Jakaya Kikwete,Kagame tunajua uporaji unaouganya Kongo,usithubutu kutuchezea tutakupa kichapo ambacho dunia itajua Tanzania sio nchi ya kuchezea

naona unaleta ujasiri wa mdomo, vita sio lelemama.
 
Kagame 2017 alisema hatagombea tena urais,Kikwete ni janga kuu anamambo kibao yamemshinda anajifanya kiranja wa EA wakati ndie rais mbovu Africa hakuna...

Rwanda hawana lolote mapimbi tu ndiyo wanayoigopa.
 
Amiri jeshi atakayeamrisha vita hivi atakwenda yeye.Mnajua uwezo wa Rwanda ki-silaha??? au mnapima kina cha maji kwa kijiti??? usiombe vita, nchi yetu kwa sasa hatuna umoja wa kuweza kupigana vita, kwanza polisi hawana mahusiano na raia, utategemea leo watanzania watoe michango kwa ajili ya vita??? Naona wengi mnashabikia hamjui madhara ya vita, vita vya mwaka 1979 wakazi wa kanda ya ziwa mashahidi, tulipata mateso tulitakiwa kuchanga kila kaya ng'ombe mmoja, wenye mabasi ilibidi mabasi yasafirishe wanajeshi, wenye vituo vya mafuta walitakiwa kutoa mafuta bure.

Kama watanzania tumesahau, mimi nitawashangaa.Ni gharama ndogo kujenga mahusiano na Rwanda kuliko gharama ya kupigana vita.Mshishabikie kabisa.

Kaa kimya kama huna hoja,
michango tena!
 
hv kwan kagame katangaza kuivamia tanzania'? Mbona naona wachangiaji wanakurupuka kuandika vitu vingine ambavyo avieleweki
Swala la kagame na kikwete wale ni maswahiba wajuana kwa vilemba sisi tusiingilie
Sisi tupambane kuuondoa utawala wa ccm madarakani
 
Huyo slim boy aangalie asije ng'olewa sehemu za mwili wake....:angry:
 
RWanda ni mkoa mdogo sn,ndege ze2 zina uwezo wa kulifunika anga lote la rwanda....uuuwwwiiiii i cant wait to fu*k rwandese bitc.hes
 
Rwanda hawana lolote mapimbi tu ndiyo wanayoigopa.
Kama wao ni pimbi mbona toka Rais wako apewe kubwa kafyata mpaka sasa,unatisha kujamba wakati unaharisha,mwambie apeleke pua Kigali kama yeye kidume...
 
Tanzania bana..hawa ndo wakapigane..hahaaa chinekeeee meee
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1372266878.882440.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1372266878.882440.jpg
    48.1 KB · Views: 63
Rais Dikteta Kagame wa Rwanda ameanza chokochoko kama zile allizofanya Dada Amini miaka ya mwishoni mwa sabini,Amini alianza kwa kurusha madongo kwa Mwalimu kama anavyofanya Dikteta Kagame,Kagame ameenda mbali na kumuita Rais wetu mjinga kwa ushauri wa kizalendo alioutoa Jakaya Kikwete,Kagame tunajua uporaji unaouganya Kongo,usithubutu kutuchezea tutakupa kichapo ambacho dunia itajua Tanzania sio nchi ya kuchezea

Mkuu kingukitano we una akili sana huyo dogo hatutishi kwa lolote, yaani tutampiga hata masaa 3 hayafiki kumsambaratisha. Aache kabisa kuchezea hii jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wetu kasema ukweli kuhusu ubadhilifu wake kule DRC
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom