Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,300
Mkuu,hapo penye rangi nyekundu, ebu fafanua ni kwa jinsi gani waislamu mnabaguliwa! Acha dhana ya jumlajumla ya ubaguzi unaohubiriwa na huyu mzee muovu Mohamed Said. Sema waziwazi wewe binafsi ulibaguliwaje kwa kuwa muislam.Nishule gani na university gani ulibaguliwa?waislam tunaelewa fika kuwa tunafanywa daraja la pili katika nchi yetu wenyewe. waislam wote wanaelewa,huwezi amini kuanzia primary level to university level,makazini,mitaani mpka majumbani waislam wanaelewa kuwa kuna ubaguzi mkubwa wa kini. tumeongea na tunaongea sana lakini hayapatiwi ufumbuzi, na siku zote binadam haonewi mda wote! kama hakuna ufumbuzi naiona Biafra ya tanzania.