- Thread starter
- #21
a very hypocritical journalist.....ndio sababu wewe huwezi kupata safu kwenye gazeti kama Raia Mwema....because you are a hypocrite.....Seems kuna kitu unatafta toka kwa watawala....you are a very very desperate journalist...very sorry for you...ungekuwa unarudi kujibu michango ya watu humu ningekuonyesha how hypocritical you are....lakini kwa vile hutarudi kujibu michango ya watu humu...i'm just sorry for you....
Ndugu yangu Nderingosha,
Mosi, mimi nina safu kwenye Raia Mwema tangu toleo namba moja. Pili, inashangaza kuwa unaongelea Raia Mwema wakati husomi Raia Mwema. Na haya unayosema hapa huenda umesukumwa na chuki binafsi. Ni tatizo lako.
Maggid