Ukiona hukubaliwi na interllectuals ujiulize Mara mbiili kuwa hufaiUDSM is no longer a home of intellectuals. Kusifu na kuabudu tu siyo sifa ya intellectual
There are opportunity seekersUDSM imekuwa jalala kweli kama alivyosema professor wao! Shame on them! NEC imepitisha wabunge 20 bila kupingwa wa chm Tupu na chuo kimeshindwa kuwauliza maswali??? Shame on them!
Nashukuru niliondoka hapo enzi za Prof. M. Luhanga. Kwa sasa hakina tofauti na Ebonite.Maskini chuo changu!!!
Aliunga juhudi baada ya kuona akina Dk. Bana wanalamba teuzi!Huyu Dr Kahangwa bado yuko Nccr mageuzi au alishastaafu siasa?
Hahahaaaa......... kumbe!Aliunga juhudi baada ya kuona akina Dk. Bana wanalamba teuzi!