DOKEZO Udanganyifu wa mitihani Paradigms

DOKEZO Udanganyifu wa mitihani Paradigms

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Joined
Apr 23, 2019
Posts
8
Reaction score
12
Chuo cha Paradigms institute kilichopo kimara Dar es salaam pale wanaandaa waiting wa hovyo kwenye sector ya afya hasa course ya clinical medicine. Yani wanafunzi wanatajiwa majibu ya mitihani tena mitihani ya afya procedure book zinafojiwa mitihani ya cats ya wodini hawafanyi yani hakuna chuo pale wanaandaa watu wakwenda kuua watu mtaani jamani tutengeneze wahitimu bora mfano mtu anafundishwa na mtu wa diploma na hana uzoefu je kuna udaktari hapo???
 
Yani mitihani inaendelea ila hakuna kitu kaka wanaenda kuua ndugu zetu kwa maana ma clinical officers wengi ndio wanaoajiriwa pamoja na ma CA MD ajira chache sana na ni nadra MD kupangiwa enterior walipo ndugu zetu.
 
Back
Top Bottom