Wakuu nimepata udaku wa matukio mbalimbali yaliyojiri na yanayoendelea kujiri kwa wana chit chat walioko safarini Tanga,nimemtafuta TANMO ili arushe bombani hajapatikana hadi sasa, TANMO popote ulipo una kazi ya kufanya huku, baadhi ni
i. Madame B awagonganisha Arushaone na PakaJimmy
ii. Babu Dark City hoi kwa Arabela
iii.. Mungi adondosha hirizi bafuni, ilikuwa imeandikwa jina la marejesho
iv. watu8 akutwa chumbani kwa Preta saa nane usiku,adai alienda kumpigia kampeni charminglady, taarifa zamfikia measkron..
v...
Wakuu nimepata udaku wa matukio mbalimbali yaliyojiri na yanayoendelea kujiri kwa wana chit chat walioko safarini Tanga,nimemtafuta TANMO ili arushe bombani hajapatikana hadi sasa, TANMO popote ulipo una kazi ya kufanya huku, baadhi ni
i. Madame B awagonganisha Arushaone na PakaJimmy
ii. Babu Dark City hoi kwa Arabela
iii.. Mungi adondosha hirizi bafuni, ilikuwa imeandikwa jina la marejesho
iv. watu8 akutwa chumbani kwa Preta saa nane usiku,adai alienda kumpigia kampeni charminglady, taarifa zamfikia measkron..
v...
Atakaerusha picha yangu mie na yeye. Nampiga zongo. Mind you hapa tanga nimejitambulisha kwa ile id nyingine. Hii ya mibhange ni siri sirini!
hebu watoroke hao uje hapa kwa minchi nina zawadi yakoAtakaerusha picha yangu mie na yeye. Nampiga zongo. Mind you hapa tanga nimejitambulisha kwa ile id nyingine. Hii ya mibhange ni siri sirini!
Nawatakia kazi njema mliopata wa kutoana baridi.
mtuwekee picha tuone ata mkiziba sura lakin maumbo tuone pls
Jamani nipo hapa Tng stand, mpo wapi nyie wengine