Udaktari unalipa?

Hii ni JF fafanua mkuu
Kwasasa nchini kwetu hakuna uhaba sana wa matabibu na madaktari kwani kila mwaka wanamaliza maelfu na hii imechangiwa kuwepo kwa utitiri wa vyuo vya kati.

Pia kwasasa raia wengi magonjwa wana uelewa sana wa magonjwa madogo hivyo hujitibu wenyewe kupitia maduka ya madawa na maabara za mitaani na wengi huja hospital pale tu anapoona hajapata nafuu. Lakini wateknolojia wa mionzi ni wachache sana kwa kuanza tu Tanzania nzima vyuo vipo 3 tu navyo benjamini Mkapa,Bugando na Muhimbili hivyo wanaohitimu ni wachache kuliko mahitaji.

Kutoka na umuhimu wao na uhaba wao umewafanya kua ghali kimalipo hata kama mtu ana diploma. Na vituo vingi vimewaajiri kwa appointment maalum maana kuwaajiri full time wengi wameshindwa na wao wanaringa vibaya kwasababu wanajua soko lipo kwao.
 
Hii ndio JF sasa, ufafanuzi mzuri kama huu
 
Aliwahi kuniambia baba yangu kuwa, ufundi, uengineer na udaktari ni kipaji cha kuzaliwa kabla ya elimu ya darasani. Hauwezi kuwa nguli katika nyanja hizo kama hujazaliwa na hicho kipaji.

Angalizo kwako mkuu. Kama mwanao hana hicho kipaji usimforce kwenda huko. Hichi kipaji utakiona kwa mtoto kwenye creativity yake kupitia uchoraji, art works na attitude ya kutaka kufanya vitu with perfection. Hapa kwenye perfection angalia mtoto anafuaje, anafanyaje usafi. Kama halipuilipui huyo mmotivate kwenye hizo taaluma atafanya vizuri sana na kufanikiwa. Kinyume na hapo atapata vyeti lakini atakuwa mediocre na mwenye demand ndogo kwenye soko.

Pia ukae ukijua kazi za udaktari ni wito 75% na fedha 25%. Kijana wako asipokuwa na moyo wa kuhudumia watu basi aachane na hii fani.
 
Ikitokea ajira kati ya sheria na daktari wakaajiriwa pamoja n yupi ambaye atakuwa na mafanikio katika nyanja ya uchumi na maendeleo kiujumla maana naona hizi fani 2 watu tunashindwa kuzielewa ipi n bora ya nyenzie
Karibuni.
Ngazi za graduates
 
Ikitokea ajira kati ya sheria na daktari wakaajiriwa pamoja n yupi ambaye atakuwa na mafanikio katika nyanja ya uchumi na maendeleo kiujumla maana naona hizi fani 2 watu tunashindwa kuzielewa ipi n bora ya nyenzie
Karibuni.
Ngazi za graduates
Daktari hawezi kuajiriwa TRA,EWURA,TPDC,eGA, TASAC
 
Chuo gani cha Private kina ada ya 8-9M kwa mwaka hapa TZ? Tuanzie hapo kwanza.
Pili, hata ukija kufanyiwa recategorization ya Law hutamfikia huyo Daktari(provided mmeajiriwa sehemu moja).
 
Private radiology diploma analamba had 1.2m compare with mda 8.7m had 9.5 m serikalini .
Je na Private, MD analipwa kiasi gani? (Assume Radiologist na MD wote wapo the same private)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…