dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 24,688
- 56,425
Ila kuna aliyewahi kuja na akaenda. Mwaminini huyo!Tatizo ni hakuna aliyewahi kwenda na akarudi akaleta ushahidi kuwa alikuwa mbinguni 😃😃
Ila kuna aliyewahi kuja na akaenda. Mwaminini huyo!Tatizo ni hakuna aliyewahi kwenda na akarudi akaleta ushahidi kuwa alikuwa mbinguni 😃😃
Mbinguni kama Makao ya Mungu:Maneno yasiwe mengi ebu tuumize akili shusheni majibu tafadhari
Kwa hyo unafanya uchunguzi wako kwa kuangalia nchi moja tu, kama nigeria wakiigiza kuna jogoo mwenye kichwa cha mtu na miguu ya paka basi uta hitimisha hicho kiumbe kipo kweliUmerefer movie za nchi za magharibi. Naomba refer movie za Nigeria.
Ni mambo ya ENERGY CODEManeno yasiwe mengi ebu tuumize akili shusheni majibu tafadhari
Mbinguni kama Makao ya Mungu:
Mbinguni inaelezewa kama mahali pa utukufu ambapo Mungu yuko kwenye kiti chake cha enzi. Katika Isaya 66:1, Mungu anasema, “Mbinguni ni kiti changu cha enzi, na dunia ni kiti cha miguu yangu.” Hii inaonyesha kwamba mbinguni ni mahali pa kiungu, tofauti na dunia.
Waislamu wa jf walisema hivyo nilipo wapinga walibisha ila sikuizi wamekimbia na hoja zao baada ya kuwafafanulia mafundisho sahihi yasiyo ya makanisani yaliyo potochwaBado pia biblia Ina maswali mengi ambayo hayana majibu pia
Siyo John tu hata mwili wake upo ushahidi hupo hadi kwenye vitabu vya wanasayansiUkisikia mwili wa John umezikwa tambua aliyezikwa sio John chief ni mwili. John yupo.
Hivi vitabu vina maswali mengi ambayo ukitaka kuhoji utaambiwa unakufuruWaislamu wa jf walisema hivyo nilipo wapinga walibisha ila sikuizi wamekimbia na hoja zao baada ya kuwafafanulia mafundisho sahihi yasiyo ya makanisani yaliyo potochwa
Maswali mengi yamesababishwa na upotovu wa madhehebu ya dini ...walivyo shindwa kuzielewa dini zao waka toa fafanuzi potovu ndiyo zenye kuleta maswali ....MFANO INJILI YA KWELI IMEPOTOSWA MAKANISANI KWA ASILIMIA 90%Hivi vitabu vina maswali mengi ambayo ukitaka kuhoji utaambiwa unakufuru