Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Mteja siku#1;naomba chakula cha mbwa. Muuzaji;Una mbwa kweli?,sikuuzii mpaka umlete huyo mbwa.> Mteja siku#2;naomba chakula cha paka.Muuzaji;sikuuzii mpaka umlete huyo paka wako nimuone...(siku nyingine yule jamaa akafika dukani akiwa na mfuko wa rambo akampa muuzaji). Muuzaji;Aisee hii kitu gani,mbona laini halafu ya moto?.Mteja;Hayo ni mavi ya binadamu,haya naomba Toilet paper!