UDA yaivua nguo serikali

UDA yaivua nguo serikali

Tanzania bwana! Nu ujanja ujanja tuuuuu kwa kila kitu. Sasa kwa nini suala la umiliki wa UDA liwe mjadala bungeni kama ni shirika halali?

Mkuu wanaogopa kumshika mak@lio mtoto wa raisi kwani Kasena ni kaptura ambayo ukiitomasa basi utamtomasa mwenye mak@lio!!!
 
mafisadi wameuziana UDA! Dah kweli hii nchi shamba la bibi na cha ajabu itakuja misukule hapa kuwatetea hawa majizi! Pambafu sana miccm yote
 
Ngoja makuwadi wa mafisadi na maroboti ya Lumumba yaje na mapovu yenye shombo"!
Hii mijamaa mbona ni mifukara mikubwa inatumiwa tu kama mpira wa kiume. Dawa ni kuwaeleza ukweli hizi kwamba hata mkisingizia kuwa chanzo ni gazeti msilolipenda lakini watanzania tunajua kila kitu, tunasubiri muda ufike Tu tupambane.
 
mafisadi wameuziana UDA! Dah kweli hii nchi shamba la bibi na cha ajabu itakuja misukule hapa kuwatetea hawa majizi! Pambafu sana miccm yote

Sawa wametuzidi ujanja wameuziana shirika, sasa imekuwaje waziri wa fedha Mwigulu Nchemba awape msamaha wa kodi kwa kuingiza mabasi 300. Mbona wamiliki wengine wa mabasi hawapewi misamaha. Kama kodi kwa kila basi ni milioni 15 ina maana hapo watanzania tumeibiwa milioni 4,500 za kodi. Hii familia ya Kikwete inafilisi nchi.
 
Taarifa hii ina harufu ya Utanzania Daima

Haina harufu yoyote ya utanzania daima ndivyo ilivyokuwa labda utwambie wachangiaji wengi walikuwa wa kambi ya upinzani. kimsingi tangu bunge lianze wengi wao ndiyo wenye hoja zenye mashiko. Serikali ilijichanganya na inaonekana mununuzi wa UDA ni kigogo anayeogopwa la sivyo ununuzi wake ungelikwishabatilishwa.
 
Hata huyu kichwa nazi aliyeleta hii habari ni wa Lumumba, ila hakuwa anajua kuwa mwana mfalme ndio anayetupiga watanzania namna hiyo...
 
Haina harufu yoyote ya utanzania daima ndivyo ilivyokuwa labda utwambie wachangiaji wengi walikuwa wa kambi ya upinzani. kimsingi tangu bunge lianze wengi wao ndiyo wenye hoja zenye mashiko. Serikali ilijichanganya na inaonekana mununuzi wa UDA ni kigogo anayeogopwa la sivyo ununuzi wake ungelikwishabatilishwa.

Mkuu usiwe muoga namna hii na kusema mmiliki wa UDA ni kigogo, mmiliki wa UDA ni Riziwani Kikwete, yuko mjengoni kutetea shirika lake na Mwakyembe ni mmoja wa makuwadi wa kutetea UDA
 
Taarifa hii ina harufu ya Utanzania Daima

We mbulumundu umekimbia mjadala sio!? Rudi hapa tukupe za usoni kudadeki mmezidi kuishi mjini kama machangudoa kwa kuhongwa na mafisadi ili mtetee uporaji wa rasilimali za taifa. Rudi kujibu hoja...
 
Sisi watanzania ni watu wa ajabu sana. Simon Group has invested millions of dollars to make UDA what it is today in barely a couple of years. Kaboresha ufanisi, ameleta mabasi brand new , yako kila kona na anaendelea kuleta mengine. Wanasiasa ndio wanaona muafaka kuleta hoja zao za kijinga sasa? Mbona wao hawakulifufua shirika la UDA kwa miaka yote ile. What we ordinary Tanzanians care for is affordable, quality and timely service. Hatujali nani mmiliki. Hizo shares za UDA zilipokuwa jiji/serikalini zilimfaidisha vipi na nini mtanzania wa kawaida? Acheni siasa kwenye mambo yasiyohitaji siasa. The government must not venture in the business of running corporations. Robert Kisena ameonyesha uwezo mkubwa kwa kulifufua shirika lililokufa kifo cha mende. Tumpongeze na kumpa ushirikiano mzalendo huyu. Kwa ushauri wangu hata mashirika mengine kama ATC, TRL, TPA wapewe wazalendo kama Robert ili tuendelee na sio hizi porojo za wanasiasa uchwara.
 
Sawa wametuzidi ujanja wameuziana shirika, sasa imekuwaje waziri wa fedha Mwigulu Nchemba awape msamaha wa kodi kwa kuingiza mabasi 300. Mbona wamiliki wengine wa mabasi hawapewi misamaha. Kama kodi kwa kila basi ni milioni 15 ina maana hapo watanzania tumeibiwa milioni 4,500 za kodi. Hii familia ya Kikwete inafilisi nchi.

-Waziri wa Fedha katoa Msamaha wa Kodi kwa Kisena.

-Naibu mwenzie hamtambui aliepewa misamaha ya Kodi

-Waziri wa Uchukuzi ndio hata faili la UDA hajui linafananaje!!
 
-Waziri wa Fedha katoa Msamaha wa Kodi kwa Kisena.

-Naibu mwenzie hamtambui aliepewa misamaha ya Kodi

-Waziri wa Uchukuzi ndio hata faili la UDA hajui linafananaje!!

Wote hao ni ukoo wa Panya. Amri ikishatolewa na mwana mfalme Riziwani Kikwete hakuna wa kuipinga. Kuna watu wanaagiza mabasi makubwa ya kubeba abiria wengi lakini hawathubutu hata kuomba msamaha wa kodi kwa vile hawataupata, lakini kwa Kisena vimemo tu vinatembea. Then mnalalamika TRA haikusanyi kodi...

HKigwangallah alipewa msamaha wa kodi wa tani 500 za cement kwa kisingizio anajenga Chuo cha uuguzi jimboni kwake akaiuza yote kwa faida na kupiga hela.
 
Sisi watanzania ni watu wa ajabu sana. Simon Group has invested millions of dollars to make UDA what it is today in barely a couple of years. Kaboresha ufanisi, ameleta mabasi brand new , yako kila kona na anaendelea kuleta mengine. Wanasiasa ndio wanaona muafaka kuleta hoja zao za kijinga sasa? Mbona wao hawakulifufua shirika la UDA kwa miaka yote ile. What we ordinary Tanzanians care for is affordable, quality and timely service. Hatujali nani mmiliki. Hizo shares za UDA zilipokuwa jiji/serikalini zilimfaidisha vipi na nini mtanzania wa kawaida? Acheni siasa kwenye mambo yasiyohitaji siasa. The government must not venture in the business of running corporations. Robert Kisena ameonyesha uwezo mkubwa kwa kulifufua shirika lililokufa kifo cha mende. Tumpongeze na kumpa ushirikiano mzalendo huyu. Kwa ushauri wangu hata mashirika mengine kama ATC, TRL, TPA wapewe wazalendo kama Robert ili tuendelee na sio hizi porojo za wanasiasa uchwara.

Wewe hujitanbui kabisa, Robert Kisena ana uzalendo gani kwa nchi hii. Aliwadhulumu wakulima shs 80 kwa kilo ya Pamba za nyongeza ya bei na akaiba hela za stimulus package uzalendo kautoa wapi??

Mtu amewekwa tu pale kama boya kwa kuwa ana roho ngumu kustahimili mashambulizi ya watanzania kwa niaba ya mwana mfalme Riziwani Kikwete we unasema ni muwekezaji, mbona kakimbia madeni kwenye Pamba? Bilioni tano alizokopa TIB za chenji ya rada muulize atazilipa lini zizungishwe kwa wakulima wengine? Acheni hizo na wizi wa mchana.

Hata ningekuwa Mimi nisingeshindwa kwenda India kukopa mabasi 300 kwa dhamana za majengo ya UDA ikiwemo stendi ya mabasi ya ubungo na kuyaingiza nchini kwa msamaha wa kodi, kamwe nisingeshindwa. Siwezi kuita mtu anayebebwa namna hii eti ni muwekezaji, huyo ni muwekezwaji.
 
Sawa wametuzidi ujanja wameuziana shirika, sasa imekuwaje waziri wa fedha Mwigulu Nchemba awape msamaha wa kodi kwa kuingiza mabasi 300. Mbona wamiliki wengine wa mabasi hawapewi misamaha. Kama kodi kwa kila basi ni milioni 15 ina maana hapo watanzania tumeibiwa milioni 4,500 za kodi. Hii familia ya Kikwete inafilisi nchi.

Billiion 4.5 si mchezo, hii nchi inaliwa na wenye meno. Ngoja tuone mwisho wake
 
Mwakyembe ni mbinafsi mno. Anajua fika ukweli ukoje kuwa UDA ni ya Riziwani Kikwete, ila kwa kulinda kibarua inabidi akae kimya. Kumbuka Mwakyembe aliikana Tanganyika aliyoitetea kwenye research yake ya PhD. Kuna mijinga huwa unawaza Mwakyembe ana sifa za urais wakati mi naona hata za ubunge hana. Hawezi kutetea nchi Mwakyembe maana alikuwa anachangia huku anaangalia upande wa Riziwani kwa woga.

Mkuu, nakuunga mkono but nadhani (Hapo penye italic na underline) Mwakyembe alikua anatwambia kwa lugha ya picha kwamba, jamani eeeh, mmiliki ni huyu hapa! Well pia lazima amuogope dogo, rejea ile issue ya wale Al-shabaab waliotumwa kuja ku-dhuru wakati ule, mwenyeji wao kwani alikua nani!?
 
Wacha wabishane weee,ilamwisho wa siku tunachotaka watanzania ni kuona kero hii ya usafiri DSM inaisha.
 
Back
Top Bottom