Uchunguzi wangu kuhusu kifo

Uchunguzi wangu kuhusu kifo

1.Unaposema huamini chochote Huwa unamaanisha nini mkuu?
Namaanisha sina imani ya aina yeyote ile.
Kwa sababu hakuna neutral katika majibu. Kama huamini kitu ndiyo umeamini Huko kutoamini.
Nimekwambia siamini kwenye kuamini.

Usicho elewa ni nini?
2. Neno kuamini kwako ni nini?
Kuamini ni kutokuwa na uhakika wala uthibitisho wa uwepo wa kitu fulani.
Nakupa mwongozo ;Kuna mambo mawili ya kuzingatia katika majibu yako. Kwa sababu kiswahili kilijosa kunyumbulika,neno "Imani" limekosa upana wake. Kuna "kuamini" kama faith na Kuna kuamini kama 'believe ".

Swali; wewe unasimamia katika context ipi kati ya hizo mbili?
(a) Faith
(b) Believe?
Siamini kwenye kuamini (believing)

Sina imani (faith) ya aina yeyote ile.
 
Kosa mnalolifanya nyie msioamini Mungu (akiwemo kiranga) ni namna mnavyodefine Mungu.
Kwa nini uhitaji kuamini Mungu yupo, Badala ya kujua kwa uhakika kabisa kwamba kuna Mungu?
Na mbaya zaidi mnakutana na watu wasiojua chochote katika kutetea hoja ya uwepo wa Mungu.
Kwa nini uhangaike kumtetea huyo Mungu badala ya kumwacha ajitetee mwenyewe kama ana huo uwezo?
Mfano wewe hapa umejibu "Huyo Mungu hayupo". Kwa nini Mungu awe huyo,huyo ni nani? Kwanini isiwe nini? Umefikia hitimisho ambalo umeamua kujikadiria jibu kabla ya kudefine Mungu ni nini?
Mungu ni dhana ya kufikirika isiyo kuwepo.

Ndio maana hata ninyi mnaodai kuna Mungu hamuwezi kuthibitisha uwepo wa hicho kitu Mnacho kiita Mungu.

Kwa sababu hakipo na hakijawahi kuwepo.
Mungu ni nini? What is God?
Mungu ni dhana ya kufikirika mliyo jitungia vichwani mwenu.

Wala haipo na haijawahi kuwepo.

Na wala hamuwezi kuthibitisha uwepo wa hicho mnacho kiita Mungu.
 
Unasema hauna imani ya aina yeyote ina maana wewe hata kwenye hili la kifo ni kwamba hauamini kama utakufa?
Siamini kwamba nitakufa, ila ninajua na nina uhakika kwamba nitakufa.

Kuamini ni kutokuwa na uhakika. Ukishakuwa na uhakika na uthibitisho wa jambo fulani wala huitaji tena imani.

Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.
 
Namaanisha sina imani ya aina yeyote ile.

Nimekwambia siamini kwenye kuamini.

Usicho elewa ni nini?

Kuamini ni kutokuwa na uhakika wala uthibitisho wa uwepo wa kitu fulani.

Siamini kwenye kuamini (believing)

Sina imani (faith) ya aina yeyote ile.
Imani ni bayana ya mambo yasiyoonekana,Mimi naamini Mungu yupo!
 
Imani ni bayana ya mambo yasiyoonekana,Mimi naamini Mungu yupo!
Kuamini unaweza kuamini hata uongo na hiyo ni haki yako ya kikatiba kabisa.

Ila Ukianza kudai imani yako ina ukweli lazima uthibitishe hilo.

Sasa tutahakikishaje kwamba imani yako ya uwepo wa huyo Mungu ni ukweli na si uongo?
 
Nimekuwa nikiwaza kwa mda mwingi je inakuaje mtu unakufa, mbona huyu amekufa mapema, mbona huyu kachelewa kufa.

Sometimes unaweza kuona ni kama unakufuru au ninakufuru kumhusu Mungu ila kiukweli najikuta nikiwaza na kumsii Mungu kama nakosea aniepushe na fikra hizi. Ila kuwaza mambo haya sio kukufuru maana nitakuwa na ushahidi fulani hapa.

Mungu ameonyesha kiwango fulani ccja mwanadamu kuishi katika Dunia na alibadili kwa kila baada ya muda.
Kwa sasa tumepewa miaka 70 tu katika maisha ya kawaida, je Mungu ni muongo maana Kuna watu wanazidi hiyo sabini na wengine wanapungua katika hiyo. Sasa angalia nini kinachosababisha kutokana na uchunguzi wangu.

1. Uchunguzi wa kikawaida(normal investigation)
2. Uchunguzi wa kidini(Religion investigations)

Hapa ntatumia uchunguzi wa kawaida hauhusiani na Imani

Kwanza kifo ni Hali ya roho na mwili kutengana, hivyo roho inaondoka au inatoka na kuacha mwili.
Mwili hauwezi kufanya kitu pasipo roho labda kuwe na seli hai zilizobakia kwa mda mchache baada ya roho kutoka(ntaelezea mkitaka).

Sasa twende kwenye Mada kwa nin tunakufa kwa kutofautiana umri.

A. Muda wa kuanza tendo la ndoa baada ya kubalehe au kuvunja ungo
B. Ufanyaji wa mapenzi
C. Shughuli tunazofanya
D. Ulaji
E. Uzembe wa kujilinda
Fafanua Sasa hizo sababu ulizozitaja hapo juu...
 
Kosa mnalolifanya nyie msioamini Mungu (akiwemo kiranga) ni namna mnavyodefine Mungu. Na mbaya zaidi mnakutana na watu wasiojua chochote katika kutetea hoja ya uwepo wa Mungu.

Mfano wewe hapa umejibu "Huyo Mungu hayupo". Kwa nini Mungu awe huyo,huyo ni nani? Kwanini isiwe nini? Umefikia hitimisho ambalo umeamua kujikadiria jibu kabla ya kudefine Mungu ni nini?

Mungu ni nini? What is God?
Afadhali usaidie mkuu maana watu wanakaza fuvu
 
Siamini kwamba nitakufa, ila ninajua na nina uhakika kwamba nitakufa.

Kuamini ni kutokuwa na uhakika. Ukishakuwa na uhakika na uthibitisho wa jambo fulani wala huitaji tena imani.

Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.
Wewe unajuaje kama utakufa uhakika huo unaupata vp au kwa sababu unaona watu wengine wanakufa?
 
Wewe unajuaje kama utakufa uhakika huo unaupata vp au kwa sababu unaona watu wengine wanakufa?
Ninajua kwa uhakika kabisa siwezi kuishi miaka zaidi ya 150.

Lazima nitakufa. Kwa sababu seli za mwili wa binadamu kadiri muda unavyokwenda na zenyewe zinakufa.

Hivyo mtu yeyote hawezi kuendelea ku survive kwanzia miaka 100+

Lazima ufe. Na wala hili halina mjadala.
 
Nimekuwa nikiwaza kwa mda mwingi je inakuaje mtu unakufa, mbona huyu amekufa mapema, mbona huyu kachelewa kufa.

Sometimes unaweza kuona ni kama unakufuru au ninakufuru kumhusu Mungu ila kiukweli najikuta nikiwaza na kumsii Mungu kama nakosea aniepushe na fikra hizi. Ila kuwaza mambo haya sio kukufuru maana nitakuwa na ushahidi fulani hapa.

Mungu ameonyesha kiwango fulani ccja mwanadamu kuishi katika Dunia na alibadili kwa kila baada ya muda.
Kwa sasa tumepewa miaka 70 tu katika maisha ya kawaida, je Mungu ni muongo maana Kuna watu wanazidi hiyo sabini na wengine wanapungua katika hiyo. Sasa angalia nini kinachosababisha kutokana na uchunguzi wangu.

1. Uchunguzi wa kikawaida(normal investigation)
2. Uchunguzi wa kidini(Religion investigations)

Hapa ntatumia uchunguzi wa kawaida hauhusiani na Imani

Kwanza kifo ni Hali ya roho na mwili kutengana, hivyo roho inaondoka au inatoka na kuacha mwili.
Mwili hauwezi kufanya kitu pasipo roho labda kuwe na seli hai zilizobakia kwa mda mchache baada ya roho kutoka(ntaelezea mkitaka).

Sasa twende kwenye Mada kwa nin tunakufa kwa kutofautiana umri.

A. Muda wa kuanza tendo la ndoa baada ya kubalehe au kuvunja ungo
B. Ufanyaji wa mapenzi
C. Shughuli tunazofanya
D. Ulaji
E. Uzembe wa kujilinda
Leo nitaelezea kuhusu point A

Muda wa kuanza tendo la ndoa baada ya kubalehe au kuvunja ungo
Kitu muhimu cha kuzingatia ni kuwa unapobalehe unaanza kuproduce uhai mwingine zile mbegu na mayai yana uhai

Hivyo wewe ndio kiini cha ule uhai, sasa tambua unapoanza kuproduce mapema pia unaincrease possibility ya kupunguza life yako, these for men,

Vivid example ni kwa watu ambao hawakuoa mapema na hawakuwa wakipiga punyeto sana utaona Wana nguvu na hata wazee wengi kwa sasa ni wale waliochelewa kupata watoto au wale walio na watoto mapema Bali hawakuendekeza kufanya tendo la ndoa mara kwa mara

Kwa wanawake ili kuishi sana inapaswa kumanage time Yao ya kupata watoto, haimaanishi ukipata watoto haraka haraka ndio life span itakuwa ndogo, no ni lazima ugundue namna mwili wako unavyoenda yani usichoke, wanawake hili swala haliwahusu sana ila ni kwa upande fulani itawahusu..ndio maana wanakuwa na life span kubwa kuliko wanaume

Angalia kwenye Biblia Hawa watu walioishi mda mrefu walipata watoto kwa mda gani. Ni wazi walichelewa kupata watoto
 
Leo nitaelezea kuhusu point A

Muda wa kuanza tendo la ndoa baada ya kubalehe au kuvunja ungo
Kitu muhimu cha kuzingatia ni kuwa unapobalehe unaanza kuproduce uhai mwingine zile mbegu na mayai yana uhai

Hivyo wewe ndio kiini cha ule uhai, sasa tambua unapoanza kuproduce mapema pia unaincrease possibility ya kupunguza life yako, these for men,

Vivid example ni kwa watu ambao hawakuoa mapema na hawakuwa wakipiga punyeto sana utaona Wana nguvu na hata wazee wengi kwa sasa ni wale waliochelewa kupata watoto au wale walio na watoto mapema Bali hawakuendekeza kufanya tendo la ndoa mara kwa mara

Kwa wanawake ili kuishi sana inapaswa kumanage time Yao ya kupata watoto, haimaanishi ukipata watoto haraka haraka ndio life span itakuwa ndogo, no ni lazima ugundue namna mwili wako unavyoenda yani usichoke, wanawake hili swala haliwahusu sana ila ni kwa upande fulani itawahusu..ndio maana wanakuwa na life span kubwa kuliko wanaume

Angalia kwenye Biblia Hawa watu walioishi mda mrefu walipata watoto kwa mda gani. Ni wazi walichelewa kupata watoto

Ahaaa kwahiyo sisi wanawake sio sana.
 
Ahaaa kwahiyo sisi wanawake sio sana.
Sio sana maana mayai yenu hayawezi kukaa linapomaliza mda wake Linatoka
Kitu cha kuzingatia ni msijichoshe yani hakikisha unafanya mazoezi mwili kuwa imara
 
Back
Top Bottom