Xiao qui shui
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 6,203
- 10,839
Uhai una mwisho kwa kiumbe hai husika.Sasa kwanini uhai una mwisho kama hauna mwanzo??
Kwahiyo mwanzo wa binadamu umetokana na nani hasa??Uhai una mwisho kwa kiumbe hai husika.
Sio kwamba una mwisho kwa viumbe hai wote kwa wakati mmoja.
Mwanzo wa kiumbe hai fulani, Umetokana na uwepo wa kiumbe hai cha jamii hiyohiyo.
Hivyo hivyo to infinity.
Binadamu hana mwanzo.Kwahiyo mwanzo wa binadamu umetokana na nani hasa??
Aaah sawa bwana kila mtu akubali mawazo yake mkuuBinadamu hana mwanzo.
Binadamu walikuwepo, wapo na wataendelea kuwepo.
Kama binadamu lazima awe na mwanzo, Hata huo mwanzo wa binadamu lazima uwe na mwanzo wake.
Na kama si lazima kwamba kila kitu kilichopo kina mwanzo, Hata binadamu hatuna na hatuhitaji kuwa na mwanzo.
Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo, Hata chanzo cha kila kitu lazima kiwe na chanzo chake.
Na kama si lazima kwamba kila kitu kilichopo kina chanzo, Hata Ulimwengu na Binadamu hatuna na hatuhitaji kuwa na chanzo.
Nimejiuliza Imekuwaje akataja roho wakati kisayansi au kwa uchunguzi ambao katumia huwa haionekaniHapo kwenye roho paache kwanza maana huwezi fanyia uchinguzi roho ambayo haionekani.
Dili na moyo tu ndugu.
Ila hapo kwenye tendo la ndoa inaweza kuwa kweli, wanawake ni SUMUAaah sawa bwana kila mtu akubali mawazo yake mkuu
Elezea point yakoIla hapo kwenye tendo la ndoa inaweza kuwa kweli, wanawake ni SUMU
Amepotelea mitini huko katuacha na viulizo kichwani , siku nyingineeee asiandike uzi alaaaMleta mada umekwapuliwa simu yako na vibaka kabla hujamaliza kuandika huu uzi?
Naona hujaweka matokeo ya huo uchunguzi wako.
Basi, nakuunga mkono🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Elezea point yako
Vipi huko daslamu mkuu hukuandamana weweBasi, nakuunga mkono🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nani afe😂Vipi huko daslamu mkuu hukuandamana wewe
Unasema hauna imani ya aina yeyote ina maana wewe hata kwenye hili la kifo ni kwamba hauamini kama utakufa?Mimi siamini kwenye kuamini, Sina imani ya aina yeyote ile.
Uhai hauna origin.
Kama kila kitu lazima kiwe na origin, Hata "Origin ya uhai" lazima iwe na origin yake.
Hivyo kutakuwa na "Origins" nyingi zisizo na mwisho.
Pasiwepo kitu chochote kile kilicho exist chenyewe tu pasipo "origin" Maana kitazua maswali ya kiliwezaje ku exist chenyewe tu pasipo origin.
Na mtoto unaye kweli atleast wa kuendeleza ukooNani afe😂
Hapo Mwanzo kulikuweko Neno,Naye Neno alitoka kwa Mungu,Vitu vyote (Yohana 1:1_)Mimi siamini kwenye kuamini, Sina imani ya aina yeyote ile.
Uhai hauna origin.
Kama kila kitu lazima kiwe na origin, Hata "Origin ya uhai" lazima iwe na origin yake.
Hivyo kutakuwa na "Origins" nyingi zisizo na mwisho.
Pasiwepo kitu chochote kile kilicho exist chenyewe tu pasipo "origin" Maana kitazua maswali ya kiliwezaje ku exist chenyewe tu pasipo origin.
1.Unaposema huamini chochote Huwa unamaanisha nini mkuu?Mimi siamini kwenye kuamini, Sina imani ya aina yeyote ile.
Uhai hauna origin.
Kama kila kitu lazima kiwe na origin, Hata "Origin ya uhai" lazima iwe na origin yake.
Hivyo kutakuwa na "Origins" nyingi zisizo na mwisho.
Pasiwepo kitu chochote kile kilicho exist chenyewe tu pasipo "origin" Maana kitazua maswali ya kiliwezaje ku exist chenyewe tu pasipo origin.
Kosa mnalolifanya nyie msioamini Mungu (akiwemo kiranga) ni namna mnavyodefine Mungu. Na mbaya zaidi mnakutana na watu wasiojua chochote katika kutetea hoja ya uwepo wa Mungu.Kwanza huyo Mungu hayupo na roho haipo.
Hakuna Mungu aliyeweka umri wa miaka 70 wa binadamu kuishi.
Hizo ni hekaya za vitabuni tu.