Uchunguzi: Chanzo cha matatizo katika sekta ya Umeme Tanzania na ujio wa IPTL

Umethubutu mkuu naamini utaweza kuanika mengi zaidi,baada ya hilo lifuate la walioficha mabilion uswisi ili tuwawajibishe.pamoja sana mkuu
 
Hama kweli JK dhaifu,Mkuu endelea na uchunguzi wako mpaka upate suluhisho la Matatizo hapa Tz.
Na Mungu awe nawe.
 
tunakuombea mungu akupe ulinzi jason ucjepewa taulo la kufutia mikono na ngozi ikaanza kukubana
 
Kuna mkanganyiko mkubwa hapo mkuu, kwenye nyaraka za majadiliano wanatajwa kuwa ni wa Vietnam, watu halisi waliopo sasa ni wa Malaysia, sasa sijui nani wahusika walio kwenye nyaraka au waliopo sasa?

Hii inachanganya sasa. Hivi kuna uhusiano wowote kati ya huyo bwana Heinken na mama masasi?
 
We! Acha kuzuga, IPTL ilitoka Malaysia na ni deal la mzee ruksa. Hizo porojo msimuliane
huko kwenye kahawa na kashata
 
Ukimaliza kufanya huo uchunguzi wako uangalie na maeneo yafuatayo kwa faida ya nchi yetu

a. MoU ya Kanisa vs. URT; nani anachukua kiasi gani? na kiasi gani kinakwenda kwenye huduma na siyo ngono, kujenga makanisa etc..

b. EPA/RICHMOND; nani alipewa ngapi na Tanesco wanavuta ngapi??

Kazi njema mkuu..(kama kweli upo na uzalendo wa kweli na si ule wa kinafikinafiki)
 
Mkuu unatisha,coherent facts. Keep on informing us but be careful these guys are dangerous!!!
 
Mkuu Jb, hauko mbali sana na ukweli, hiyo miaka unayotaja labda wameichakachua kwenye record zao! Na kuna kitu kisicho cha kawaida kuhusu kadhia hii, wanajaribu sana kutomhusisha mzee mwinyi ktk dili hili na nadhani ndiyo sababu ya kusogeza kidogo miaka inayotajwa, wanasahau kuwa hawawezi kufuta rekodi za ziara za viongozi na maafisa wa serikali zilizozaa wizi huu! Kwa mtazamo wangu iptl ndiyo imehusika kwa % kubwa kuidhoofisha Tanesco, kwa karibu miaka ishirini inaikamua Tanesco tu bila tija yoyote. Tujaribu kupata kwa siku au mwezi tunailipa iptl kiasi gani mtachoka humu ndani.
Big up sana mkuu.
 
Back
Top Bottom