CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Tangu 2006 hadi sasa uchumi umekua kwa kiasi gani kiasilimia?.......
Kikwete alisema kuongezeka kwa foleni ni maendeleo kwa kuwa watu wananunua magari kwa wingi. Labda ndio kukua kwenyewe kwa uchumi vile yeye ni mchumi!