fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Je ni CHADEMA, CUF, TLP , NCCR-Mageuzi, UDP au CCM wanaowajibika na hali duni za maisha kwa watanzania wengi huku utajiri wa nchi ukiwaeneemesha wakubwa tu na wageni???
Nani alipaswa kuweka na kusimamia nanmna uchumi unavyowafikia WaTZ?? je ni upinzani au CCM??? au pia ni uzembe wa CHADEMA au CUF???
Yuko wapi Mrema, Yuko wapi Cheyo, yuko wapi Marsha, Yuko wapi Jaffu?? Yuko wapi Hamadi au Lipumba???
Uchumi wa nyanya matumzi ya makubwa kila asubihi sisi ni maskini kuklioan jioni italkuwa baada ya miaka 50 tangu sasa
Tunaposikia mtu anasialiti jitihada za kujikomboa kkiuchumi,inauma sana
Nawasilisha
Nani alipaswa kuweka na kusimamia nanmna uchumi unavyowafikia WaTZ?? je ni upinzani au CCM??? au pia ni uzembe wa CHADEMA au CUF???
Yuko wapi Mrema, Yuko wapi Cheyo, yuko wapi Marsha, Yuko wapi Jaffu?? Yuko wapi Hamadi au Lipumba???
Uchumi wa nyanya matumzi ya makubwa kila asubihi sisi ni maskini kuklioan jioni italkuwa baada ya miaka 50 tangu sasa
Tunaposikia mtu anasialiti jitihada za kujikomboa kkiuchumi,inauma sana
Nawasilisha