Uchumi wa Nchi wayumba Mauzo ya Hisa katika soko la hisa la Dar yashuka

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Mauzo ya hisa katika Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE), yameshuka kutoka Sh bilioni nne wiki iliyopita hadi Sh bilioni 3.7 wiki hii kutokana na kushuka kwa bei ya hisa za baadhi ya kampuni zilizoorodheshwa sokoni hapo.
 
Usiogope mkuu.. Tunapambana kuisaidia serikali ifanye vyema.... Unaona sasa viongozi wengi kama kina Makonda wamekuwa transformed.. Wameachana na mambo ya kinoko noko na mipasho na sasa wako bize kutumikia wananchi... Tunapambana kuwasaidia waliobaki kama kina Kingwala ngwala nao wavuke hapo.
 
Mauzo ya hisa katika Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE), yameshuka kutoka Sh bilioni nne wiki iliyopita hadi Sh bilioni 3.7 wiki hii kutokana na kushuka kwa bei ya hisa za baadhi ya kampuni zilizoorodheshwa sokoni hapo.
Soko la hisa na makampuni yalifanya ufisadi na mafisadi. Mkuu wa kaya kakata mirija ya ufisadi. Soko na makampuni yajiandae kuwa kama shetani na watanzania wanyonge wakiishi kama malaika wakiendesha shughuli za viwanda vitakavyoshamiri kwa usafiri na usafirishaji wa SGR na Bombadia ahahahahahaha! Cheka nami kama umenielewa tetetetete!
 
Mauzo ya hisa katika Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE), yameshuka kutoka Sh bilioni nne wiki iliyopita hadi Sh bilioni 3.7 wiki hii kutokana na kushuka kwa bei ya hisa za baadhi ya kampuni zilizoorodheshwa sokoni hapo.

Utaambiwa mchochezi wakati uliyoyasema ndio uhalisia wenyewe. Usipomsifia mkulu unaambiwa mchochezi! Mhh, TZ yangu! Waiter, lete balimi tatu tafadhali.
 
Tatizo unaweza kusema "Hapa Kazi Tu" huku unasukumiza gari kuanguka kwenye korongo.
ha ha! basi kama ni kusukuma itakuwa ilianzia 2015 yeye alisukumwa sasa anasukuma!
unafikiri watz tumekosea kuchagua viongozi stahiki..? kama itakuwa tumekosea unafikiri wakulaumiwa ni yeye au waliomchagua..?
 
ha ha! basi kama ni kusukuma itakuwa ilianzia 2015 yeye alisukumwa sasa anasukuma!
unafikiri watz tumekosea kuchagua viongozi stahiki..? kama itakuwa tumekosea unafikiri wakulaumiwa ni yeye au waliomchagua..?

Swalila kama wa TZ walikoseani gumu sana,kwa sababu linaweza kirahisi kuelekea kule Waingereza wanapokuita "blaming the victim".

Wa TZ kukosea kwaohakujaanza kwenye kumchagua rais 2015 tu, mfumo mzimawa ukondoo unaoruhusu watu wachache,au mtu mmoja,kutoa jina la mtu anayekuja kuwa rais ni kosa kubwa sana.

Kwa sababu mfumohuu unatoa mwanya kwa mtu anayeweza kujikomba zaidi na kuhadaa zaidi kuwa rais zaidi ya mtu anayeweza kufanya kazi zaidi.

Mtu mwenye akili timamu kutakakuwania kazi asiyoiweza,ni hakikumpa lawama.

Lakini suala hili linaibua swali lingine. Huyu bwana ana akili timamu?

Watu wanaomchagua nao hawaepuki lawama.

Lakini hilisuala linaibua swali lingine, hawa watu walikuwa na habari zote? Wana elimu? Walikuwa na mbadala mzuri?
 
ha ha! basi kama ni kusukuma itakuwa ilianzia 2015 yeye alisukumwa sasa anasukuma!
unafikiri watz tumekosea kuchagua viongozi stahiki..? kama itakuwa tumekosea unafikiri wakulaumiwa ni yeye au waliomchagua..?
tapatalk_1512965310147.jpeg

Hivi ni nani wa kulaumiwa?
 
Soko la hisa na makampuni yalifanya ufisadi na mafisadi. Mkuu wa kaya kakata mirija ya ufisadi. Soko na makampuni yajiandae kuwa kama shetani na watanzania wanyonge wakiishi kama malaika wakiendesha shughuli za viwanda vitakavyoshamiri kwa usafiri na usafirishaji wa SGR na Bombadia ahahahahahaha! Cheka nami kama umenielewa tetetetete!
Hao mafisadi walilelewa na serikali ya chama gani?Sizonje ameshuka juzijuzi toka mwezini hakuwepo kabisa kwenye hiyo serikali!
 
Mauzo ya hisa katika Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE), yameshuka kutoka Sh bilioni nne wiki iliyopita hadi Sh bilioni 3.7 wiki hii kutokana na kushuka kwa bei ya hisa za baadhi ya kampuni zilizoorodheshwa sokoni hapo.
Wewe uchumi wako unaendaje? Usiseme wa mtu mwingine maana uzoefu unaonyesha hakuna kitu kinaitwa team work wakati kila mtu anapambana kivyake
 
Suala la uchumi wa nchi,ustawi wa jamii,haki, usawa na Katiba bora tumewaachia wanasiasa wachache na sasa wao wanaamua kwa manufaa yao na familia zao na vyama vyao.
Ndio maana unawasikia wakisema bila katiba mpya 2020 hatushiriki uchaguzi.
Yani katiba inaonekana ni ya muhimu kwa ajili ya uchaguzi tu lakini hayo mambo mengine hawana habari nayo.

Wale wa chama tawala nao wanaangalia saula hilo hilo la uchaguzi kuwa ikija katiba mpya wataweza kupoteza madaraka hivyo kwao masuala mengine yote kwenye katiba kama masula ya haki ,usawa, na utawala bora hayana umuhimu zaidi ya kupigania chama chao na ushindi wao. Kwao taifa limeishia pala chama chao kinapoishia.
Hizi ndizo siasa za nchi za kiafrika. Siasa za kutafuta madaraka tu hata kama wananchi wana maisha magumu na uchumi unaporomoka.
 
Mauzo ya hisa katika Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE), yameshuka kutoka Sh bilioni nne wiki iliyopita hadi Sh bilioni 3.7 wiki hii kutokana na kushuka kwa bei ya hisa za baadhi ya kampuni zilizoorodheshwa sokoni hapo.
Asubuhi ulituasa kuwa kuna press conference ya ukawa na nchi itatikisika! Nasubiri hadi sasa naona ni ngonjera katika taarifa za Habari! Tutakuaminije kesho ukija na tahadhari?
 
Asubuhi ulituasa kuwa kuna press conference ya ukawa na nchi itatikisika! Nasubiri hadi sasa naona ni ngonjera katika taarifa za Habari! Tutakuaminije kesho ukija na tahadhari?
Wabongo wengine hawa wakikuambia "nchi itatikisika" unachotakiwa kuelewa ni kwamba, kutakuwa na vi headlines viwili vitatu vya kizushi kesho ambavyo watu watavisahau kabla hata hiyo kesho haijaisha.

Kama watavijua vimetokea at all.
 
Back
Top Bottom