Uchumi wa kati tulifikaje? Bora kuwa na nidhamu ya uoga kuliko kutokuwa na nidhamu kabisa

Pesa siyo tatizo kivipi?
Kwa nini Ndugai alisema nchi itauzwa
Muulize yeye,pesa sio tatizo kwa sababu hizi hapa 👇

1648974173282.jpeg
 
Magufuli alikuwa mwamba na shujaa kwelikweli. Kazi aliyoifanya tangu enzi akiwa naibu waziri ni kubwa mno. Hakika kizuri hakidumu. Ila tumejifunza na somo limebaki mioyoni mwetu.
 
Ni PUNGUANI tu anayeweza kumdhihaki JPM.
JPM aliacha Mfuko wa mbolea ukiuzwa kwa sh. 45,000/- au 50,000/- lakini sasa mfuko ule ule unauzwa kwa sh.120,000/- hadi 150,000/-
Lakini si mbolea tu, bali hata vitu vingine vimepanda bei kwa zaidi ya 95%.
Ikumbukwe kwamba, kupanda kwa bei za vitu hakuwaathiri hata kidogo wenye mamlaka na waitifaki wao.
Hao wote wanatumia Bajeti za serikali, ndiyo maana hali hii kwao si chochote wala si lolote.

JPM alikuwa ni mzalendo wa kweli na aliumia sana kuona Watanzania wanaumizwa kwa mambo ya kijinga kijinga kama haya, ndiyo maana alijitoa sadaka kwa ajili yetu.
RIP, BABA YETU MPENDWA, JPM.
Mama Corona imemuathiri nadhani. Kalewa bwiiii madaraka ya Uraisi. Hafahamu afanyalo msameheni. Cha mwisho kabisa tusubirini 2025 atajifunza somo na hao wanaomdanganya. Wamesahau mwokozi wa CCM ni yule yule JPM
 
Una uhakika gani kuwa tulifikia huo uchumi wa kati, mbona indicators za economic growth zinakataa!
 
Tulifika kwa kuwa na uongozi hodari na imara wa mwamba JPM, ambao:
• Ulipinga rushwa
• Ulipambana na mafisadi
• Ulishughulikia wauza madawa ya kulevya
• Ulipambana na majangili
• Uliwa-empower Watanzania wanyonge kama machinga, bodaboda, mama ntilie, n.k.
• Uliimarisha, kurekebisha na kuboresha miundombinu ya maji, afya, elimu na usafiri
• Uliimarisha taasisi na kubuni na kufufua mashirika ya umma kama Air Tanzania
• Ulianzisha na kukamilisha miradi mikubwa ya kimkakati
• Ulifanya independent decisions bila kukopi kila kitu kutoka kwa mabeberu
• Ulidumisha uzalendo, uwajibikaji na uchapakazi.

Kwanini tusingefikia lengo kabla ya wakati?
Vipi mzee hayo yote hayafanyiki au unajilisha upepo tuu?
 
Hao waliompinga na wanaoendelea kumchukia sasa hivi ni kwa kuwa walikuwa wapigaji, na wapigaji hawakuwa na nafasi wakati wa uongozi wa JPM. Ila hata wao wanajua kabisa jinsi mwamba alivyokuwa anachapa kazi.
Kazi ipi hiyo Mzee aliyochapa? Mnapambanisha mwaka 1 wa Mama na miaka 6 ya Mwendazake..

Kazi ya kawaida saana?
 
Tulifika kwa kuwa na uongozi hodari na imara wa mwamba JPM, ambao:
• Ulipinga rushwa
• Ulipambana na mafisadi
• Ulishughulikia wauza madawa ya kulevya
• Ulipambana na majangili
• Uliwa-empower Watanzania wanyonge kama machinga, bodaboda, mama ntilie, n.k.
• Uliimarisha, kurekebisha na kuboresha miundombinu ya maji, afya, elimu na usafiri
• Uliimarisha taasisi na kubuni na kufufua mashirika ya umma kama Air Tanzania
• Ulianzisha na kukamilisha miradi mikubwa ya kimkakati
• Ulifanya independent decisions bila kukopi kila kitu kutoka kwa mabeberu
• Ulidumisha uzalendo, uwajibikaji na uchapakazi.

Kwanini tusingefikia lengo kabla ya wakati?
Kwa hiyo, baada ya Magufuli kufariki, unashauri tusiwe na Rais, tuendelee kumkumbuka hayati?
 
Mwaka 2019 bank ya dunia ilitangaza Tanzania kuingia uchumi wa kati miaka mitano mapema zaidi kinyume na ilivyokuwa imetabiriwa kwamba itachukua miaka kumi.

Je, kuwahi huku kuingia uchumi wa kati ilikuwa ni matunda ya nidhamu ya uoga? Kama nidhamu ya uoga ina matunda kiasi hiki kwa nini tuiogope sasa?

Kwa watoto wadogo na wasiojua mambo wanadhani hayati Magufuli alianza kuwa mkali alipokuwa rais wa nchi tu wakati ukweli ni kwamba Magufuli alikuwa mkali na mfuatiliaji tangu akiwa naibu waziri, waziri na baadae rais wa nchi.

Katikati ya mafisadi wakubwa wa awamu za Mkapa na Kikwete lakini walimwogopa Magufuli aliwashughulikia kila wizara aliyopelekwa, swali la kujiuliza aliwezaje?

Hata baada ya kuwa rais na kufariki dunia mpaka leo mwaka umeisha si Chadema, ACT Wazalendo wala CCM waliokuja na ushahidi usiotia shaka juu ya ufisadi wake licha ya kwamba waliahidi pindi tu atakapotoka madarakani basi watakuja na mikataba ya ufisadi na rushwa kubwakubwa zilizosainiwa na yeye.

Mwezi March 2022 umetimia mwaka mzima tangu atutoke duniani lakini mahasimu wake ikiwemo, Lisu, Lema, Nape ,Makamba, Kigogo bado hawajawaletea watanzania ufisadi wa Magufuli.

Kinyume chake wanaendeleza mafanikio na miradi ya awamu ya tano kwa kasi kubwa, walipinga kila kitu lakini sasa wanatumia kila kitu walichokipinga!

Walioahidi kuifunika legacy kumbe hawana uwezo kuifunika hata kidole chake tu!

Muda utawaumbua zaidi.



Uchumi wa kati sio pesa tu au ukuwaji wa uchumi ni pamoja na idadi ya watu. Tulikuwa tumeingia kidogo sana na ukuaji wa uchumi ukapungua na watoto wakazaliwa zaidi au idadi ya watu ikaongezeka zaidi. Kama watu wanaongeza kwa kasi uchumi nao unatakiwa kukuwa kwa kasi.

Tujue uchumi umepungua kukuwa lakini umekuwa na ni mkubwa kuliko 2019 lakini ongezeko la watu ni mkubwa pia.

Nchi zote wanapitia kama yetu sio ukali au upole bali ni covid 19 huu ndiyo ukweli tusipoteshe.
 
Mwaka 2019 bank ya dunia ilitangaza Tanzania kuingia uchumi wa kati miaka mitano mapema zaidi kinyume na ilivyokuwa imetabiriwa kwamba itachukua miaka kumi.

Je, kuwahi huku kuingia uchumi wa kati ilikuwa ni matunda ya nidhamu ya uoga? Kama nidhamu ya uoga ina matunda kiasi hiki kwa nini tuiogope sasa?

Kwa watoto wadogo na wasiojua mambo wanadhani hayati Magufuli alianza kuwa mkali alipokuwa rais wa nchi tu wakati ukweli ni kwamba Magufuli alikuwa mkali na mfuatiliaji tangu akiwa naibu waziri, waziri na baadae rais wa nchi.

Katikati ya mafisadi wakubwa wa awamu za Mkapa na Kikwete lakini walimwogopa Magufuli aliwashughulikia kila wizara aliyopelekwa, swali la kujiuliza aliwezaje?

Hata baada ya kuwa rais na kufariki dunia mpaka leo mwaka umeisha si Chadema, ACT Wazalendo wala CCM waliokuja na ushahidi usiotia shaka juu ya ufisadi wake licha ya kwamba waliahidi pindi tu atakapotoka madarakani basi watakuja na mikataba ya ufisadi na rushwa kubwakubwa zilizosainiwa na yeye.

Mwezi March 2022 umetimia mwaka mzima tangu atutoke duniani lakini mahasimu wake ikiwemo, Lisu, Lema, Nape ,Makamba, Kigogo bado hawajawaletea watanzania ufisadi wa Magufuli.

Kinyume chake wanaendeleza mafanikio na miradi ya awamu ya tano kwa kasi kubwa, walipinga kila kitu lakini sasa wanatumia kila kitu walichokipinga!

Walioahidi kuifunika legacy kumbe hawana uwezo kuifunika hata kidole chake tu!

Muda utawaumbua zaidi.

Tanzania haijawahi kufikia uchumi wa Kati. Zilikuwa na fix za mwendazake Mana nchi ilikuwa unaongozwa kikwata kwata kwa maelezo yake mwenyewe na akaongeza kwamba yeye Ni kichaa angependa watanzania wote tuwe vichaa Kama yeye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom