Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 5,068
- 9,713
ShukranAhaa basi sawa...karibu
ShukranAhaa basi sawa...karibu
Hata picha hamna mkuuJamaica ni tofauti kama tunavyoisikia. Nimerudi toka huko kama miezi miwili sasa. Jamaica ni free Port kama Dubai. Kingstone ina bandari karibu nusu ya beach yake. Pia ina bandari nyingi sana sikuwahi kutegemea jamaa wanaexport mazao sana zaidi matunda na wanaimport zaidi toka marekani. In short jamaica yote imezungukwa na bandari. Utalii uko juu sana.
Thibitisha kwa data[emoji625]Uchumi wa Jamaica 75% unategemea kilimo cha bangi.[emoji777]
interesting! nimezunguka zunguka...ila jamaica sijawahi fika. air ticket ya go and return ni bei gani? bila shaka uli-connect flight US or kuna direct flight?Wewe ndio umempa jibu halisi, jamaa wanalima sana ndizi na matunda, mboga mboga na viwanda vya kati, pia utalii, watalii wengi hutoka Canada na Marekani. Kutoka jamaica hadi Miami ni kilometa kama 1500 hv yan dar na Bukoba au Musoma.
Izo bangi wanazosema watu na Rasta ni ideas tu, ukifika Jamaica hutaziona nikama tu wazungu wenhine wanavyodhani Afrika nzima ni pori na tunaishi na wanyama au sisi wote ni kama wamasai, lakin ukweli ni lipo kundi dogo la Rasta. Na wengine wanaishi kawaida.
Ningesimulia mengi yatosha, nimetoka huko mwezi wa uliopita