mahunduhamza
Member
- Aug 25, 2021
- 19
- 46
Jambo hili lilianza mwaka 1920 baada ya kunukuliwa kwa kiongozi mashuhuri wa Jamaica Marcus Garvey, ambaye alikuwa nyuma ya harakati ya Kurudi Afrika:
"Angalia Afrika, wakati mfalme mweusi atakapotawazwa taji, kwani siku ya ukombozi imekaribia."
Muongo mmoja baadaye, Ras Tafari (au Chifu Tafari) mwenye umri wa miaka 38 alipotawazwa Haile Selassie wa Ethiopia, wananchi wengi nchini Jamaica waliona hii kama unabii umetimia na harakati ya Rastafari ilizaliwa.
CHANZO CHA PICHA,AFP
Maelezo ya picha,
Haile Selassie (kushoto)
Mwanamuziki maarufu wa Rege Bob Marley alikuwa mahiri kueneza imani ya kirasta, na mashairi yake yalinukuliwa na Mfalme kwenye mkutano wa Umoja wa Mataifa mwaka 1963 akihubiri zaidi amani duniani.
CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
Maelfu ya Rastafarians walivyomlaki Haile Selassie alipoenda Jamaica mwka 1966
Mpaka hii leo jamii ya Rastafarian ipo nchini Ethiopia katika mji wa Shashamene, kilomita 225 kutoka kusini mwa mji wa Addis Ababa kwenye eneo ambalo walipewa kama zawadi na Haille Sellasie kama shukrani baada ya kumuunga mkono katika vita dhidi ya Mussolini.
Sellasie ambaye alikuwa muumini wa Ki'orthodox, haijatambulika bado kama alikuwa akiamini katika Rasta na vilevile aliwahi kuwaambia watu wake kuwa yeye sio kiumbe cha kipekee lakini jamii ya rastafarian waliendelea kumuabudu na kumuita simba wa yuda.
Jambo hili limefanya watu wengi nchi Ethiopia waamini kuwa huenda ni zao la Mfalme Suleiman kwenye maandiko ya Biblia
"Angalia Afrika, wakati mfalme mweusi atakapotawazwa taji, kwani siku ya ukombozi imekaribia."
Muongo mmoja baadaye, Ras Tafari (au Chifu Tafari) mwenye umri wa miaka 38 alipotawazwa Haile Selassie wa Ethiopia, wananchi wengi nchini Jamaica waliona hii kama unabii umetimia na harakati ya Rastafari ilizaliwa.
CHANZO CHA PICHA,AFP
Maelezo ya picha,
Haile Selassie (kushoto)
Mwanamuziki maarufu wa Rege Bob Marley alikuwa mahiri kueneza imani ya kirasta, na mashairi yake yalinukuliwa na Mfalme kwenye mkutano wa Umoja wa Mataifa mwaka 1963 akihubiri zaidi amani duniani.
CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,
Maelfu ya Rastafarians walivyomlaki Haile Selassie alipoenda Jamaica mwka 1966
Mpaka hii leo jamii ya Rastafarian ipo nchini Ethiopia katika mji wa Shashamene, kilomita 225 kutoka kusini mwa mji wa Addis Ababa kwenye eneo ambalo walipewa kama zawadi na Haille Sellasie kama shukrani baada ya kumuunga mkono katika vita dhidi ya Mussolini.
Sellasie ambaye alikuwa muumini wa Ki'orthodox, haijatambulika bado kama alikuwa akiamini katika Rasta na vilevile aliwahi kuwaambia watu wake kuwa yeye sio kiumbe cha kipekee lakini jamii ya rastafarian waliendelea kumuabudu na kumuita simba wa yuda.
Jambo hili limefanya watu wengi nchi Ethiopia waamini kuwa huenda ni zao la Mfalme Suleiman kwenye maandiko ya Biblia