Kama akili ndio hizi hili taifa lina wajinga wakubwaMleta mada una kitu kinachokuvuruga kichwani na kule nyuma - hivi kufungwa kwa banki kunazuia uchumi kukuwa???
1. Wamekuonesha sbb ya kufunga biashara yao??
2. Serikali huwa inawapangia uendeshaji???
3. Ikama yao unaifahamu sawia???
Acha kutumika
Acha uongoHapa Mbeya walisha funga tawi lao kabisa
Uongo gani? Nenda ukachekiAcha uongo
Kaka yangu anafanya mbeya akiba na yupo kazini.Uongo gani? Nenda ukacheki
Na leo hii nimetoka kuchukua kahela kakuzugia mtaani pale kwake.Uongo gani? Nenda ukacheki
Sijaona mahali wamesema WANAPUNGUZA WAFANYAKAZI sababu ya UCHUMI mbaya wa NCHI HII......
Kama nani? Usije mtukana na Bwana ako tuWapiga deal wote lazima muote ndevu zenye mvi
Umesoma sababu zake?? Hacha upumbafu wako bwabwa weweKupunguzwa kwa wafanyakazi hakujaanza leo,
Nenda shule, you idiot.Sijaona mahali wamesema WANAPUNGUZA WAFANYAKAZI sababu ya UCHUMI mbaya wa NCHI HII......
We shoga unatakiwa uende kwenye Jukwaa la machoko wenzako, wacha watu wenye upeo wachangie hoja humu, unatutilia harufu mbaya humu.Inaingia JF tu na kuwatch You tube videos na livestreaming
We return ukifungwa utasema umekuwa kama Mandela kumbe wewe sababu ni kutukana!Pumbavuuuu
Magufuli - Mannji - Yanga.Mwishoni mtasema yanga wanahali ngumu sababu ya kuanguka kwa uchumi,kumbe nyie wenyewe wabongo mna uongozi mbovu
hata kama ikiwa imeajiri watu ishirini hiyo haifuti dhana kwamba watanzania wenzetu hawajaajiriwa na ACB, hata kama ingekuwa na matawi manne nchi nzima, hayo matawi yana faida kubwa kuanzia kwa mfanya usafi mpaka kwa branch managerHata USA wafanyakazi hupunguzwa.
Uzembe, Ufisadi Akiba Commercial bank!!!! inakera
Zipo factors kadhaa zinaweza kupelekea Taasisi zisiweze kuendana na kasi ya ushindani sokoni.
Hivi ACB ina matawi mangapi halafu imeajiri wangapi?
Ajira| Top stories,read all Tanzania headlines here May 14, 2018 | Popular news in Tanzania
Hahahah