Uchumi na mapenzi

hapa mnazungumzia uhusiano kati ya mkwanja na mahusiano?
 
HI every body.

Nilukuwa nikangalia viewers katika topic nying kwenye JF nikagundua viewers walio kwenye Topics za mapenzi ni wengi zaidi ya mara 100 ya walio kwenye topic za Uchumi,

Swali Je ni kwamba mapenzi ni muhimu kuliko uchumi au uchumi tulionao umejitosheleza that means we are SELF SUFFICIENCY IN ECONOMICS. But anyway I need Help WHY?

The man from no where.....
Mkuu kuchangia mada kwenye uchumi lazima uwe na kaufahamu kidogo ka uchumi, na siasa vilevile but kwenye mapenzi kila mtu anaelimu ya kuzaliwa.
 
Huwa nashangaa sana wa2 kulalamika wakati hamuishi kuchungulia humu, kila achunguliae MMU anapenda vinavyopostiwa humu halaf mnaanza kujishaua oh kwa jukwaa la MMU wa2 wengi wakati na ww ni mmoja wao ktk kuongeza hiyo idadi. Mimi sijawah kabisa kuchungulia jukwaa la siasa wala uchumi kwan spendi wala sielewi kwanza nchi yenyewe inaendeshwa na wa2 25 tu halafu niende nikajitie steress kule mwe mmbanu!!!
Hapo chacha...kilichomtia min....ge ni nini mpaka kuja kuchungulia huku? Hahaha umenichekesha sana.
 
Ebwana paka mweusi inaonesha wewe unaishi marekani nini? We unafikiri atakayekuja kukukomboa hapo ulipo ni mzungu au maana inaonesha we kipato chako kinaaingia kupitia mapenzi au? unamaana gani?
Askudanganye mtu bwana wajinga ndio waliwao fungua blog za wenzzetu uone people zinaongelea kuhusu mtikisiko wa uchumi dunian ila sisi mapenzi. du UONI KAMA HIYO NI DANGER TUTABAKI KILA SIKU KUOMBA OMBA KAMA AKINA MATONYA.

ILA ANYWAY KAMUA MWANA UPO JUU.......?

the man from no where..........
 
sasa mkuu mi ndo nlikuwa naanza naingia kwenye JF so nilikuwa naingia kwenye topic karibu zote ili nione wapi nafit but mi niko compitent karibu kote ila lilikuwa swali la kimtego ili nipate who were addicted to love affairs poooooowa mazeeee
bon voyage
 
HI every body.

Nilukuwa nikangalia viewers katika topic nying kwenye JF nikagundua viewers walio kwenye Topics za mapenzi ni wengi zaidi ya mara 100 ya walio kwenye topic za Uchumi,

Swali Je ni kwamba mapenzi ni muhimu kuliko uchumi au uchumi tulionao umejitosheleza that means we are SELF SUFFICIENCY IN ECONOMICS. But anyway I need Help WHY?

The man from no where.....


Mwenzetu ulifanyaje mpaka ukaibuka na hiyo statistic?
 
Twala sisi Washiba wao!!!!!, Uchumi ni wao, sisi watuachie Malovidovi, umbea na alfu lela ulela..... Na siku Zaenda!!!!!!!!!!
 
Kwa taarifa fupi tu.......binadamu kukurukakara zake zote anatafuta hela...kujijengea uchumi imara and eventually kujenga uchumi wa nchi ili apendwe............kwahiyo hangaika yote ikiwapo huo uchumi mwisho wake ni mapenzi!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom