Uchumi: Kama una chanzo kimoja cha mapato wewe ni maskini full stop

Uchumi: Kama una chanzo kimoja cha mapato wewe ni maskini full stop

nipo online

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,508
Reaction score
3,429
Kanuni nyingine ya uchumi ni kwamba, hakikisha baada ya kujiridhisha chanzo kimoja cha uchumi Kimesimama, hakikisha anzisha kingine hata kama kitakua kidogo ni afadhali uwe na chanzo kingine cha pesa ili ikatokea umefeli upande huu upande wa pili bado unaendelea kukupa matunda.

Kua na chanzo kimoja cha mapato ni hatari mara Mia, amua Leo dunia yako uamuzi ni wako maisha mazuri yana respond kwa wanaochukua hatua sio wanaoishia tu kusoma uzi kama huu.
 
Wengi mnaojifanya mnashauri sana kwenye mipango fedha utakuta hamna chochote zaidi ya kujibunia ideas vichwani na kujifanya mnaziishi kumbe wengine mawinga na waburn cd tu.

Ni kama lecture wa chuo biashara anaifundisha kwenye makaratasi anachanganua mtaji mpaka faida but akipewa 5mill aizungushe cha kwanza kichwani kinakuja anunue bodaboda ampe kishandu amkusanyie 10K kwa siku
 
Wengi mnaojifanya mnashauri sana kwenye mipango fedha utakuta hamna chochote zaidi ya kujibunia ideas vichwani na kujifanya mnaziishi kumbe wengine mawinga na waburn cd tu.

Ni kama lecture wa chuo biashara anaifundisha kwenye makaratasi anachanganua mtaji mpaka faida but akipewa 5mill aizungushe cha kwanza kichwani kinakuja anunue bodaboda ampe kishandu amkusanyie 10K kwa siku
Upo negative sana badilisha mindset
 
Back
Top Bottom