UCHUMBA vs USHIRIKINA

UCHUMBA vs USHIRIKINA

Zamani waliamini dunia ni flat, ndio maana kuna mahali wanasema nitakufanya imara kama nguzo za dunia.

Sasa leo hii usome hilo neno na kulichukua kama lilivyo, ngumu sana.

Wenye imani wataamini hivyo hivyo.
 
True, ni rahisi kujitafakari na kujiweka kwenye mizani mwenyewe kuliko kumpima mwingine.

Najijua nilivyokuwa naenda kanisani kwa kutimiza wajibu. 99% nilikuwa nje kimawazo, najijua sasa ambapo ninashiriki ibada yote, nikitoka nje labda kwa 15%. Naenda si kwasababu ya kulazimika, lkn naenda kwa imani. The likes of wapo wa kutosha tu. Sio tu baada ya kutoka kanisani ukiwauliza theme ya leo ni nini lkn hata hawakumbuki masomo say muinjili na wala si mistari.
Sijazungumzia ambao anatoka kama alivyoingia, yaani hajajengeka au hata kupata amani ambayo unapopokea sakrament unapaswa kuipata. Again, reference ni mimi na assumption wa kama mimi wapo.
 
Lakini ulikuwa na unaamini yaliyo andikwa kwenye hivyo vitabu?

Of course yapo ambayo yalikuwa yana-make sense na mengine ambayo nilihitaji kutafakari na kujifunza zaidi.

Utaamini vipi haya nje ya dini?

Are you suggesting that huwezi kuwa na imani nje ya dini?

Wanaposema everyone has a right to religion and belief do they mean kuwa huwezi kuwa na belief unless uwe na dini?

Pamoja na kusoma divinity kama kitabu cha history ina maana ulikuwa uhisi hisia zozote za kidini kwenye hilo somo?

Hisia kwa maana ya feelings? Of course, feelings zinaweza kuwepo kama zilivyokuwepo feelings za jinsi Europe ilivyoinyonya Afrika. But again feelings are temporary. They can change from time to time.
 
Zamani waliamini dunia ni flat, ndio maana kuna mahali wanasema nitakufanya imara kama nguzo za dunia. Sasa leo hii usome hilo neno na kulichukua kama lilivyo, ngumu sana.

Ukikitaka kumtawala binadamu mnyime uhuru wa ku-reason.

Agenda bado ni kuhakikisha kuwa "amani na utulivu" vinaendelea kubakia.

Watu bado wanaogopa kuingia kwenye "reasoning age" kisa imani. Badala yake wanamwachia wanayemwamini awatatulie matatizo yao.

Ndiyo maana mpaka baadhi ya wachumi wameishia kusema kuwa kama tunataka kutatua matizo ya kiuchumi ni bora tuu kufanya maombi.

 
Last edited by a moderator:
Nafikiri unaongeza chumvi unaposema watanzania wamekaa badala ya kushughulikia matatizo yao. Nigeria ni nchi ya imani (IMO) kuliko Tanzania. Tanzania is full of vuguvugu people, lkn niambie mbona wanigeria wako aggressive ktk kushughulikia mambo yao. Kwa mnigeria anapozaliwa tu tayari anakuwa introduced to some gods, iwe Judeo Christian God, Allah au oracle/family idol.

Kuhusu kureason, kwa mkristu ni kifunuliwa na Roho Mtakatifu yale ambayo wenye hekima walifichwa wakafunuliwa watoto wachanga. Reasoning ya logic mara nyingi haileti Kweli ya Mwenyezi Mungu, na ndio maana, pamoja na Yesu kukaa na mitume wake kwa miaka 3 akiwafundishe aliwaambia wakae ndani kwanza mpaka atakapowaletea Roho Mtakatifu atakayewapa nguvu, maarifa, elimu, hekima etc. Na ukisoma Matendo ya Mitume; utaona jinsi mambo yaliyokuwa yanaflow. Imagine no you don't maana technolojia tayari; mtu anaongea kinyamwezi mkorea anasikia kwa lugha yake.

Kaunga nakumbuka haya mambo tuliyajadili kwa kina sana kwenye huu uzi wa https://www.jamiiforums.com/great-t...i-kwenye-nchi-masikini-na-duni-kielimu-2.html ambapo watu kama KipimaPembe alituambia kuwa:

Pamoja na madai kuwa lengo la dini ni kujenga na kuhimiza maadili lakini ni ukweli vile vile kuwa katika nchi hizo zinajojishamirisha kuwa na watu wenye dini [ikiwemo Nigeria] viwango vya crime viko juu vile vile. Corruption katika nchi zinazodai kuwa na dini sana iko juu. Utajiuliza hivi kweli dini inapigania maadili ikiwa nchi zenye dini sana zimezongwa na ufisadi na makosa mengi ya kijinai?

Kwa hiyo pamoja na kuwepo kwa dini bado binadamu tunahitaji mfumo bora zaidi wa kuongozana na kutawalana. Dini si tofauti sana na mifumo ya mila na desturi za makabila na jamii mbali mbali. Zinatofautiana tu mipaka kwa maana dini na hasa hizi mbili za ukristo na uislam ni mfumo wa mila (udhanifu) iliyofanikiwa kuvuka mipaka ya jamii ilikoanzia. Hata hivyo kadri binadamu anavyozidi kuendelea ukweli unazidi kujidhihirisha basi na dini zinazidi kufifia.

Ndo maana kiwango cha ustaarabu na maendeleo ya kiuchumi na kisayansi vinapozidi kujikita katika jamii, dini huanza kufifia na kutoweka. Tunaelekea kwenye dunia isiyo na dini. Dunia ambayo ustaarabu na maendeleo vinatokana na kushamiri kwa maarifa kuhusu mazingira, dunia na vilivyomo. Maarifa ya kisayansi na maendeleo ya kiuchumi yanayotokea hapo hufanya dini ibaki kama silaha iliyozeeka na isiyo na matumizi tena. Ndo maana kwa nchi maskini ambazo kiwango cha maarifa na maendeleo kiko chini dini bado inaendelea kutumika kujaribu kuleta utangamano katika jamii. Dini ni chombo cha kuleta utangamano katika jamii, ila ni chombo ambacho hakijafanikiwa sana. Hata hivyo bado inafaa pale ambapo bado hakujawa na mbadala.

Turudi nyuma, nipe mfano wa nini watanzania wameshindwa kufanya wakaishia kusali tu...

Mengi nimeshaandika kwenye threads za nyuma.

.... Mchungaji kama umepitia huko Twitter, Facebook na blogs za Watanzania, jaribu kusoma comments zilizoachwa na wachangiaji. Mara nyingi wachangiaji wanasema Eee Mungu tusaidie. Wengi wanaamini there is nothing they can do about the problems they are facing, so they have left it to God to help them. Hata wakati wa Mapinduzi ya Tunisia na Misri watu hapa walikuwa wanamwomba Mungu yatokee pia Tanzania. Then, jaribu kupitia blogs za Wakenya. They don't mention God in their comments, unless ni issue ya kidini. They don't depend on God to fix their problems. Kama Wakenya walikuwa wanamtegemea Mungu wasingepata katiba mpya.

Kwa kifupi siamini kama mapinduzi yanakuja Tanzania. Not yet. Bado sana. Tena sana. Tutandelea kulalamika, kutoipenda serikali n.k lakini yote tutamwachia Mungu. Sijui huko kanisani huwa mnawafundisha nini waumini. Kuwa mwombe Mungu tuu na matatizo yako yote yataisha?

Baadhi ya majibu ya Mchungaji

Sahihi kabisa ! Ni ukweli huu mchungu kuukubali, lakini ukirudi nyuma ni mfumo wetu na makuzi yetu! Anachosema Kiongozi wa Dini ama na serikali tuliaminishwa ni sahihi kabisa. Ndiyo maana hata viongozi wa dini wanatubeza eti ni chaguo la Mungu. Kupenda kwetu kuamini uwongo basi tunapelekea kila kitu kuomba nguvu za kimungu zitusaidie umeme urudi na rushwa iondoke.

Na mwingine akaongezea.

EMT,

Ni kweli kabisa ya kuwa, jambo lililo ndani ya uwezo wa binadamu mwenyezi Mungu hahusiki kabisaaaaa. Ndo maana sisi binadamu tulipendelewa kuliko viumbe wengine wooooote!! Always a 1000 Kilometers journey begins with one step.......


...na niambie walipaswa kufanya nini kwa mfano.

Nilishajibu kwenye uzi mwingine tena kwa kurefer Bibilia.

Utamwomba Mungu akupe mwongozo (guidance), support, strength, help katika kutatua matatizo yako. But you can sit there in your heartache waiting on God to save you from your old ways.

The LORD gives his people strength
The LORD gave his people strength
The LORD will give power to his people
The LORD will give strength unto his people

Psalm 29:11

The LORD will give strength - prosperity in our secular affairs, success in our enterprises and his blessing upon our fields and cattle. But if you don't have enterprises, fields and cattle, then there will be no blessing. What for? The LORD cannot bless for nothing.

Sorry gotta go mpira umeanza ati.
 
Bora umenisaidia kuuliza. Ni Kiranga na wa kufananaye tu ndio nitamuelewa akisema uchawi haupo.
Kuna makala moja ya Pengo niliikubali, alisema shetani amefanikiwa sana na anatumia tricks kuu mbili.
1: Kuwafanya watu wasiamini kuwa yeye yupo na yu behind evils zote. Kwa njia hii, kinacholaumiwa ni tabia, bad luck, addictions etc. Hivyo vita vinakuwa kwa watu. Point hii T.B.Joshua anasema unapoua mtu kwa kitendo cha kuua au kuiba, unachofanya unaua mwili ilhali ile evil spirit inatoka na kumvaa mwingine. Lkn huyo mtu badala ya kuuawa akifanyiwa deliverance then hiyo spirit inaenda kufungwa kuzimu kiasi kwamba haiwezi muingia mwingine.

2: kitu kingine shetani anachotumia (Pengo) ktk kukamata watu, ni kujitangazia au kuaminisha watu kuwa ana nguvu zaidi. Kiasi cha kuogopwa na kuabudiwa (hapa utakuta wale wanaotafuta power na utajiri wanaingia ktk kundi hili).

Sasa wasomi wengi na wale wakristu wa majina na wakupasha joto viti jumapili huangukia ktk kundi la kwanza. I was in that kundi hilo na my popular kaulis used to be:-
-huyu shetani anasingiziwa
-una roho mbaya kumzidi shetani.

Vitabu vyote vya dini vinazungumzia kuhusu uchawi na ushirikina. Sadaka za damu zifanyazo na waganga ndizo zilizokuwa zinafanywa na wayahudi na ndio Yesu alichokifanya msalabani. Na ndicho tukifanyacho wakatoliki kila siku ya Misa ingawa ni kwa maumbo ya mkate na divai.

Naamini ukiwaelewa washirikina ni rahisi kuwabadilisha na kuwafanya waumini wazuri.

N.B ninauchukia ushirikina na uchawi, anything from dark side. Na zaidi ya utafiti sijaenda kwa mganga na sina chale hata moja. Na my late father alikuwa kwenye kundi la kwanza (haamini uchawi etc, ingawa somehow ninajua wazazi wake waliamini those days)

Maadamu umenialika kwa kunitag, nitarejea kueleza mawazo yangu ambayo hayajakingamwa bado.

Hakuna uthibitisho kwamba mungu au shetani wapo, na hakuna lolote lililopimwa katika mizani ya fikra linaloonyesha kwamba dhana hizi za shetani na mungu zinatokana na ndoto za kufikirika zaidi kuliko ukweli wa mambo.

Pia hakuna uthibitisho kwamba kuna "roho" wala "uchawi", navyo vinaonekana kuwa ni wimbo uleule tu wa hadithi za kusadikika.

Katika jamii ambayo elimu ni anasa, upumbavu wowote uliosadikika kwa maelfu ya miaka bila kupewa pingamizi, unaweza kusimama kwa maelfu ya miaka ijayo.

Hata katika zama hizi za habari na Google.

Unaweza kunithibitishia, nje ya wigo wa imani -imani inaharibu kila kitu kwa sababu inawezesha yeyote kukubali chochote- kwamba mungu, shetani, uchawi, roho and all that supernatural etc ni vitu vilivyo kweli na si hadithi za kusadikika tu?
 
Kiranga bora umekuja naomba unisaidie kuwaelewa hawa watu...mtu anasema yeye ni mkristo yet anachambua what to believe na what not to believe au ana weka tafsiri yake binafsi tofauti na viongozi wake wa dini...sasa hawa watu tukisema hawaamini Chochote..tunawaonea? Halafu mada hapa ni kuamini ushirikina Upo...je ushirikina na dini Unaweza ku separate?
 
Last edited by a moderator:
Kiranga bora umekuja naomba unisaidie kuwaelewa hawa watu...mtu anasema yeye ni mkristo yet anachambua what to believe na what not to believe au ana weka tafsiri yake binafsi tofauti na viongozi wake wa dini...sasa hawa watu tukisema hawaamini Chochote..tunawaonea? Halafu mada hapa ni kuamini ushirikina Upo...je ushirikina na dini Unaweza ku separate?

Bora umeuliza hilo la ushirikina na dini, maana nilitaka kuuliza nikachelea kutoeleweka.

Kwangu mimi, ukiangalia mambo ya msingi kabisa na kuacha kuangalia tofauti za kuupara, ushirikina na dini vyote vina msingi mmoja.

Kuamini visivyothibitishika.

Kwa hivyo naweza kusema hata kuamini dini ni ushirikina tu, sema ushirikina ambao umepewa heshima na jamii.

Lakini ukichambua sana anayeagua kwa waganga mlingotini, kwa kuamini.mizimu au majini.yasiyoonekana wala kuthibitishika, na yule anayeomba mungu, allah, yesu etc, ambaye haonekani, kwa kupitia dini, wote ni wale wale tu.

Wanajiaminisha vitu visivyothibitishika.
 
Last edited by a moderator:
Bora umeuliza hilo la ushirikina na dini, maana nilitaka kuuliza nikachelea kutoeleweka.

Kwangu mimi, ukiangalia.mambo ya.msingi kabisa na kuacha kuangalia tofauti za kuupara, ushirikina na dini vyote vina.msingi mmoja.

Kuamini visivyothibitishika.

Kwa hivyo naweza kusema hata kuamini dini ni ushirikina tu, sema ushirikina ambao umepewa heshima na jamii.

Lakini ukichambua sana anayeagua kwa waganga mlingotini, kwa kuamini.mizimu au majini.yasiyoonekana wala kuthibitishika, na yule anayeomba mungu, allah, yesu etc, ambaye haonekani, kwa kupitia dini, wote ni wale wale tu.

Wanajiaminisha vitu visivyothibitishika.

Na hata dini hazitaki mtu achague cha kuamini na kuacha kingine..dini kama uislam Wanasema wazi mtu aki pick and choose what to believe ni ushirikina wanataka ubebe yote as it is...wenyewe wanaita 'true dogma'
 
i love you more than you can imagine...i adore you...very smart woman with class
that's very rare
cc Fixed Point ...
Good, very good.........
Hopefully you will be saying this again and again without my friend Kaunga holding a gun directed to your neck........
hata kama mmetowowa miaka 30 iliyopita we still enjoy hearing those sweet phrases coming from you......, habari ndo hiyo rafiki
 
Last edited by a moderator:
Mmmmh mkuu pagumu unajua hadi unaamua kumchagua mchumba basi manake moyo wk umetuliaa kwake hasa wale watu wa dini so inapotokea ishu hiyo n habari nyingine, UKISHAMPENDA MTU UTANYWESHWA MAJI KWA KIFUU UKAZANIA KIKOMBE YAAN HUNA HATA HABARI
Heri hata ugundue wakati wa uchumba, kuna wengine wanagundua wakiwa wameshafungishwa pingu za maisha kabisa!

aisee nikigundua hiyo kitu sitaangalia mambo ya mapenzi tena, Muda wowote naweza ingiliwa, kama si mimi, basi ni mtoto wangu ama mke wangu...

Ushirikina, usikieni tu ukiwa na herufi zake.. ukikukuta kama hauna damu ya Yesu, basi ni majanga!

Huo uchumba bora ufe tu!
 
ushirikina haukimbiwi bali unakemewa......tia mikwara miiiiingi watakukalia mbali...na uchumba utadumu mpaka ndoa
 
Back
Top Bottom