Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,091
- 136,618
Yaani ni wasomi wengi sana wako ktk kundi hili. Wanatumia logic and five senses kushughulikia mambo ya rohoni (imani).
Kaunga hawa wasomi wana ona tu aibu kuongea in public exactly what they believe but deep in their heart wanaamini na probably wanaogopa
Mimi mshua wangu (msomi mwenye PhD na several books to his name) alikuwa hakubali uwepo na nguvu za kichawi. Na kafa na msimamo wake huo huo.
Hata kwenye mambo ya dini, alikuwa hivyo hivyo ingawa hapo angalau aliweza kutambua baadhi ya mambo mazuri ya kidini, mfano zile so called amri kumi za mungu (ambazo kwa mujibu wake yeye, baadhi yake zilikuwa applicable katika kumwezesha mtu kuishi maisha ya kiuadilifu).