UCHUMBA vs USHIRIKINA

UCHUMBA vs USHIRIKINA

Indeed. If God exits, then believing in him, might be something minimal.

I would think that God would call upon his people to do something radical that exceeds the mere believing in him or in his work.

I would think that God would call upon his people to actually believe him about each and everything.


sorry to ask you this wewe una dini unaiamini?
sababu dini zote zinasema ushirikina ni kitu real....na kipo...
huwa sielewi ni vipi mtu aseme anaamini mungu sana na ana dini yake anaiamini
at the same time huyo mtu aseme 'uchawi' hakuna.....au uchawi sio kitu real...

hapo huwa naona kama mtu ana pick what to believe and what not to believe
halafu anajiita muumini wa dini fulani,while dini inataka uamini every things unavyo hubiriwa...
 
katika vitu ambavyo watanzania ni wanafiki wakubwa ni ushirikina
tafiti imesema asilimia 93 but kla mtu anawanyooshea wengine vidole kwa ushirikina...
as if wengi hawahusiki.......

ushauri wangu jizuie kuhukumu atu kwa ushirikina sababu utajikuta unahukumu kila mtu unae kutana nae in your life
cc EMT

Bossman ushawahi kwenda kwa mganga wa kienyeji, iwe kwa ridhaa yako au la?
 
sorry to ask you this wewe una dini unaiamini?
sababu dini zote zinasema ushirikina ni kitu real....na kipo...
huwa sielewi ni vipi mtu aseme anaamini mungu sana na ana dini yake anaiamini
at the same time huyo mtu aseme 'uchawi' hakuna.....au uchawi sio kitu real...

hapo huwa naona kama mtu ana pick what to believe and what not to believe
halafu anajiita muumini wa dini fulani,while dini inataka uamini every things unavyo hubiriwa...
Bora umenisaidia kuuliza. Ni Kiranga na wa kufananaye tu ndio nitamuelewa akisema uchawi haupo.
Kuna makala moja ya Pengo niliikubali, alisema shetani amefanikiwa sana na anatumia tricks kuu mbili.
1: Kuwafanya watu wasiamini kuwa yeye yupo na yu behind evils zote. Kwa njia hii, kinacholaumiwa ni tabia, bad luck, addictions etc. Hivyo vita vinakuwa kwa watu. Point hii T.B.Joshua anasema unapoua mtu kwa kitendo cha kuua au kuiba, unachofanya unaua mwili ilhali ile evil spirit inatoka na kumvaa mwingine. Lkn huyo mtu badala ya kuuawa akifanyiwa deliverance then hiyo spirit inaenda kufungwa kuzimu kiasi kwamba haiwezi muingia mwingine.

2: kitu kingine shetani anachotumia (Pengo) ktk kukamata watu, ni kujitangazia au kuaminisha watu kuwa ana nguvu zaidi. Kiasi cha kuogopwa na kuabudiwa (hapa utakuta wale wanaotafuta power na utajiri wanaingia ktk kundi hili).

Sasa wasomi wengi na wale wakristu wa majina na wakupasha joto viti jumapili huangukia ktk kundi la kwanza. I was in that kundi hilo na my popular kaulis used to be:-
-huyu shetani anasingiziwa
-una roho mbaya kumzidi shetani.

Vitabu vyote vya dini vinazungumzia kuhusu uchawi na ushirikina. Sadaka za damu zifanyazo na waganga ndizo zilizokuwa zinafanywa na wayahudi na ndio Yesu alichokifanya msalabani. Na ndicho tukifanyacho wakatoliki kila siku ya Misa ingawa ni kwa maumbo ya mkate na divai.

Naamini ukiwaelewa washirikina ni rahisi kuwabadilisha na kuwafanya waumini wazuri.

N.B ninauchukia ushirikina na uchawi, anything from dark side. Na zaidi ya utafiti sijaenda kwa mganga na sina chale hata moja. Na my late father alikuwa kwenye kundi la kwanza (haamini uchawi etc, ingawa somehow ninajua wazazi wake waliamini those days)
 
Last edited by a moderator:
Kuna wachawi humu JF?

Maana nataka ku-renew tena offer yangu kwa atakayefanikiwa kuniroga.....
 
sorry to ask you this wewe una dini unaiamini?
sababu dini zote zinasema ushirikina ni kitu real....na kipo...
huwa sielewi ni vipi mtu aseme anaamini mungu sana na ana dini yake anaiamini
at the same time huyo mtu aseme 'uchawi' hakuna.....au uchawi sio kitu real...

hapo huwa naona kama mtu ana pick what to believe and what not to believe
halafu anajiita muumini wa dini fulani,while dini inataka uamini every things unavyo hubiriwa...

The fact kuwa nina dini ninayoiamini haina maana kuwa naamini each and everything kinachofundishwa/fanywa na hiyo dini.
 
The fact kuwa nina dini ni..nayoiamini haina maana kuwa naamini each and everything kinachofundishwa/fanywa na hiyo dini.
Nafikiri umejibu kuwa you pick what to believe. Cc Kaunga. Angalau kiranga na Ngabu hawaamini Chochote
 
Last edited by a moderator:
Nafikiri umejibu kuwa you pick what to believe. Cc Kaunga. Angalau kiranga na Ngabu hawaamini Chochote

Yaani ni wasomi wengi sana wako ktk kundi hili. Wanatumia logic and five senses kushughulikia mambo ya rohoni (imani).
 
Last edited by a moderator:
Point ni kuwa mtu akirogwa hawezi hata kujijua....so Unaweza sema aje mtu aniroge kumbe Tayari usharogwa

Unaona sasa...

Ndo maana siye wengine ni vigumu sana kukubali kuwa kweli hayo mambo yapo na hizo nguvu zake zinazodaiwa kuwepo, kweli zipo.

Kwa nini? Kwa sababu imani nzima ime-base kwenye mysteries na unknowns kibao.

Sasa kama aliyerogwa hawezi kujua, huyo aliyemroga yeye atawezaje kujua kama kazi yake kweli imefanikiwa?

Ushirikina na dini ni pande mbili za sarafu ile ile tu. Zote msingi wake mkuu ni imani. Na tayari tunajua kuwa imani ni kitu au jambo la kufikirika tu. Nothing more, nothing less.

Sijawahi kuona dini au ushirikina ukifanya kazi.
 
Yaani ni wasomi wengi sana wako ktk kundi hili. Wanatumia logic and five senses kushughulikia mambo ya rohoni (imani).

Kaunga hawa wasomi wana ona tu aibu kuongea in public exactly what they believe but deep in their heart wanaamini na probably wanaogopa
 
Last edited by a moderator:
Nimewahi kumwagiwa maji na mbuzi akachinjwa mkoani village...tambiko la kunitakia kheri mjini ..sijui huo ni ushirikina au rituals tu...

Teh teh teh....mtaja mwagiwa na misumu nyie:smile-big:.

Rituals ni subset ya ushirikina.

Sasa baada ya kumwagiwa hayo maji na mbuzi kuchinjwa, hiyo kheri uliipata?
 
Back
Top Bottom