UCHUMBA vs USHIRIKINA

UCHUMBA vs USHIRIKINA

Mmhhh kazi kweli kweli maana ukishaanza kuamini waganga basi tena unakuwa mtumwa!!! Sijui nitafanyaje Kwa kweli
 
Heri hata ugundue wakati wa uchumba, kuna wengine wanagundua wakiwa wameshafungishwa pingu za maisha kabisa!

aisee nikigundua hiyo kitu sitaangalia mambo ya mapenzi tena, Muda wowote naweza ingiliwa, kama si mimi, basi ni mtoto wangu ama mke wangu...

Ushirikina, usikieni tu ukiwa na herufi zake.. ukikukuta kama hauna damu ya Yesu, basi ni majanga!

Huo uchumba bora ufe tu!
 
Ni bora kusepa tu maana huwezi kujua labda nawe wanaweza "wakakutengeneza" Kuishi na mtu huku mmepeana ahadi "mpaka kifo kitutenganishe" halafu una wasiwasi na tabia za familia ya mumeo/mkeo katika hili la ushirikina haihusu kitu.

Ukigundua familia ya mchumba wako ina mambo ya kishirikina Utavunja uchumba!?
 
suluhisha ni kuwabadili kutoka kwenye mawazo yao ya nguvu za giza na kuwaweka kwenye right path.
 
Heri hata ugundue wakati wa uchumba, kuna wengine wanagundua wakiwa wameshafungishwa pingu za maisha kabisa!

aisee nikigundua hiyo kitu sitaangalia mambo ya mapenzi tena, Muda wowote naweza ingiliwa, kama si mimi, basi ni mtoto wangu ama mke wangu...

Ushirikina, usikieni tu ukiwa na herufi zake.. ukikukuta kama hauna damu ya Yesu, basi ni majanga!

Huo uchumba bora ufe tu!

Well said....
 
We unaweza kufanya ulichosema??!!
Ofcourse yes. naweza kum'badilisha mchumba/mke wangu lakini sitoweza kuwabadi ndugu zake. It is not necessary kuwabadili ndugu zake kwasababu na wao wana maisha yao, hayanihusu.
 
katika vitu ambavyo watanzania ni wanafiki wakubwa ni ushirikina
tafiti imesema asilimia 93 but kla mtu anawanyooshea wengine vidole kwa ushirikina...
as if wengi hawahusiki.......

ushauri wangu jizuie kuhukumu atu kwa ushirikina sababu utajikuta unahukumu kila mtu unae kutana nae in your life
cc EMT
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Kama huyo mchumba yuko involved directly inabd ulitizame upya.
 
Ukigundua familia ya mchumba wako ina mambo ya kishirikina Utavunja uchumba!?

Inategemea. Kama na yeye anaamini kwenye mambo ya kishirikina na hataki kuacha hapo kutakuwa hakuna jinsi.

Lakini kama familia yake ina mambo ya kishirikina lakini yeye hana then hapo hakutakuwa na tatizo. Hapo sitaweza kumhukumu.

katika vitu ambavyo watanzania ni wanafiki wakubwa ni ushirikina
tafiti imesema asilimia 93 but kla mtu anawanyooshea wengine vidole kwa ushirikina...
as if wengi hawahusiki.......

ushauri wangu jizuie kuhukumu atu kwa ushirikina sababu utajikuta unahukumu kila mtu unae kutana nae in your life
cc EMT

I hate ushirikina. I don't believe in those stuff and never will.


 
Utanidai kombe la dunia moja.


Nilitaka kusema hayo hayo, mtu hachagui familia ya kuzaliwa. Kama amejikuta kwenye familia ya kishirikina, cha kwanza ni kujua kama yeye hashiriki na haamini katika hayo. Kama haamini na hashiriki hakuna tatizo, ila kama anashiriki basi bora kuachana mapema.



Inategemea. Kama na yeye anaamini kwenye mambo ya kishirikina na hataki kuacha hapo kutakuwa hakuna jinsi.

Lakini kama familia yake ina mambo ya kishirikina lakini yeye hana then hapo hakutakuwa na tatizo. Hapo sitaweza kumhukumu.



I hate ushirikina. I don't believe in those stuff and never will.


 
  • Thanks
Reactions: EMT
nilimuacha mchumba wangu mpendwa sababu i, ila kama wewe mwana maombi naye yuko tayar kuacha ukale akawa mtu wa maombi hamna shida mnaweza kuwabadilisha kupitia maombi wakauacha uchawi
 
Ukigundua familia ya mchumba wako ina mambo ya kishirikina Utavunja uchumba!?[/

je mchumba wko nae ni mchawi? probably haju kama kwa ni wachawi, fuailia uwe na uhakika isije kuwa uzushi tu. ushaur wangu mkeo anatoka kwa bwana fanya maombi utaonyeshwa mke sahihi
 


Inategemea. Kama na yeye anaamini kwenye mambo ya kishirikina na hataki kuacha hapo kutakuwa hakuna jinsi.

Lakini kama familia yake ina mambo ya kishirikina lakini yeye hana then hapo hakutakuwa na tatizo. Hapo sitaweza kumhukumu.



I hate ushirikina. I don't believe in those stuff and never will.




Utaandika kitabu au paper?
naona interest yako inakitu perhaps unakuja nacho
au una wanafunzi unawafundisha na haya mambo mnayajadili?
 
Back
Top Bottom