Uchumba kwake ilikuwa ni shida, ndoa nayo ni shida

Joao de Matos

JF-Expert Member
Jun 16, 2022
334
267
Hi ishu ilimpata ndugu yangu mmoja upande wa mama. Ni iko hivi

Ni kijana mmoja hivi alikuwa anamasters na Ni mwalimu wa chuo flani nyanga za juu kusini na alikuwa Ana mchumba wake wa kike ambaye alikuwa anatarajia kufunga nae ndoa, alimpendaa Sana walienda mpaka kununua shela la harusi yao.

Shida ilianza yule Dada alikuwa Ana EX wake japo alikuwa anasoma UK alivyorudi huku bongo akamtafuta yule Dada wakakubaliana kuwa warudishe mahusiano yao na wakafanikiwa, yule Dada akaamua kumueleza ukweli yule mtarajiwa wake na akamrudishia shela yake. Yule kijana alilia ghafla mpaka kwenda kwa wazazi wake alilia Sana mapaka familia mzima ikajua , ikafika kipindi kijana alitaka kujinyonga kisa yule Dada, mpaka mama yangu akampigia simu ili kumsaidia kumfuta machozi.

Dada yake akaamua kumtafutia Mdogo wake binti alifanikiwa kumtafutia , na huyo mdada alikubalia kuwa naye coz jamaa alikuwa yupo fresh tuu, na Mdogo wake akakubali kuwa na yule dada. Wakaa kama mwaka mmoja hivi na miezi yake mapaka wakaamua wafunge ndoa .

Kwa upande wa yule Dada aliyemkataa akakorofishana na yule jamaa aliyetoka UK.

Siku ya ndoa yule jamaa kipindi anafunga ndoa alilia mbele ya kanisa na Baba yake Ni mchungaji , Basi mda wa harusi yule dada aliyemuacha alienda kwenye harusi na kuchukua zawadi ili kuwapa ila mama wa bwana harusi aliichukua ile zawadi akiogompa kuwa atakuwa kaweka kitu ili kumdhuru mwanae zawadi aliichukua mama yake.

Baada ya ndoa walifanikiwa kupata mtoto mmoja wa kiume. Ila juzi juzi hapa miaka Kama 3 iliyopita jamaa alitolewa pale chuoni alichukuwa anafundisha kutoka na vyo vingi kufungiwa na vingine kuzuia kutoa mafunzo flani katika chuo, so jamaa akawa anakazi ila mkewe akawa anayokazi,

Basi mkewe akaanza kushambaza maneno kwa friends wake na kumsema kuwa mumewe Ni dume suruhali coz yeye ndo anamrisha , ila yule jamaa yupo na mkewe coz watu wanasema kwa kuwa yule jamaa anaishi kwenye nyumba Yale tuu sio ya kupanga, jamaa mpaka leo anajishughulisha na shughuli mbalimbali.
 
Mwamba hii kitu umeandika hapa hata wewe mwenyewe umeielewa kweli?

Sijui kama nimemuelewa

Ila wa Mama na wa baba mliojaliwa watoto wa kike na wakiume, wakati mnapambana kuwafanya mabinti zenu kupata mafanikio, kujielewa na kufanya kazi; msisahau kuwaambia watoto wenu wa kiume ukweli kwamba hawatakiwi kudeka kwa suala la nafasi ya mume na baba.

Waambieni kabisa wajue kwamba mwanamke hata awe na uwezo mkubwa huwa vipi huwa anamheshimu mwanaume anayefit kwenye nafasi yake

Ni hayo tuu
 
Hi ishu ilimpata ndugu yangu mmoja upande wa mama. Ni iko hivi

Ni kijana mmoja hivi alikuwa anamasters na Ni mwalimu wa chuo flani nyanga za juu kusini na alikuwa Ana mchumba wake wa kike ambaye alikuwa anatarajia kufunga nae ndoa, alimpendaa Sana walienda mpaka kununua shela la harusi yao.

Shida ilianza yule Dada alikuwa Ana EX wake japo alikuwa anasoma UK alivyorudi huku bongo akamtafuta yule Dada wakakubaliana kuwa warudishe mahusiano yao na wakafanikiwa, yule Dada akaamua kumueleza ukweli yule mtarajiwa wake na akamrudishia shela yake. Yule kijana alilia ghafla mpaka kwenda kwa wazazi wake alilia Sana mapaka familia mzima ikajua , ikafika kipindi kijana alitaka kujinyonga kisa yule Dada, mpaka mama yangu akampigia simu ili kumsaidia kumfuta machozi.

Dada yake akaamua kumtafutia Mdogo wake binti alifanikiwa kumtafutia , na huyo mdada alikubalia kuwa naye coz jamaa alikuwa yupo fresh tuu, na Mdogo wake akakubali kuwa na yule dada. Wakaa kama mwaka mmoja hivi na miezi yake mapaka wakaamua wafunge ndoa .

Kwa upande wa yule Dada aliyemkataa akakorofishana na yule jamaa aliyetoka UK.

Siku ya ndoa yule jamaa kipindi anafunga ndoa alilia mbele ya kanisa na Baba yake Ni mchungaji , Basi mda wa harusi yule dada aliyemuacha alienda kwenye harusi na kuchukua zawadi ili kuwapa ila mama wa bwana harusi aliichukua ile zawadi akiogompa kuwa atakuwa kaweka kitu ili kumdhuru mwanae zawadi aliichukua mama yake.

Baada ya ndoa walifanikiwa kupata mtoto mmoja wa kiume. Ila juzi juzi hapa miaka Kama 3 iliyopita jamaa alitolewa pale chuoni alichukuwa anafundisha kutoka na vyo vingi kufungiwa na vingine kuzuia kutoa mafunzo flani katika chuo, so jamaa akawa anakazi ila mkewe akawa anayokazi,

Basi mkewe akaanza kushambaza maneno kwa friends wake na kumsema kuwa mumewe Ni dume suruhali coz yeye ndo anamrisha , ila yule jamaa yupo na mkewe coz watu wanasema kwa kuwa yule jamaa anaishi kwenye nyumba Yale tuu sio ya kupanga, jamaa mpaka leo anajishughulisha na shughuli mbalimbali.
Mwanaume anaemlilia mwanamke kisa kachukuliwa na mtu mwingne huwa simwelew kabisa aisee. Naona kama ana kasoro fulan
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom