Uchumba kuvunjika ...kisa HARUSI

Kuna dada mmoja hua anamwambia mchumba wake tukioana nataka uniagizie gauni la harusi nje ya nchi, sitaki la kukodi ama kununua humu humu nataka la kwangu na uniagizie Italy au UK [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndege wafananao huruka pamoja...sidhani Kama angewahi hata kuota kuniambia Mimi hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi alishindwa vigezo na masharti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwambie mshkaj wako huyo shemeji yenu ni bi harusi sio mke....
Usawa huu upewe milion kadhaa za kuanzia maisha na kutofanya harusi bora nisifanye tu
 
Huyo mzee nimempenda. Kama bibie anataka sherehe wafanye kwao send off.
 
Huyo binti anaijua harusi? au anataka sherehe ya ndoa? Kuna harusi Siku hizi?

By the way, sioni sababu na umuhimu wa hizo sherehe. Ni gharama zisizo msingi.
Nyingi za hizo ndoa za sherehe za sifa huwa hazidumu sana. Nina mifano mingi tu.
Namkubali sana huyo mzee kwa 100%.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hio familia ningeolewa mimi
sipendi sherehe nikiwa kama mimi ndie mlengwa sipendi kabisa.
-kujaza jaza mawatu kibao yote yanakutazama siwezi kwakweli
-kila mualikwa camera man nachukia hili jambo mno
watu mmealikwa kaeni tulieni
-waalikwa muda wote wanachat[emoji3]
Tukikusanyana familia zetu mbili tukaenda hotelini tukala dinner imetoka hio wazee wangu wanachukia hii kitu mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa afanye hivi, amwite binti/mchumba wake amweleze kwa hekima ya kimapenzi. wafunge ndoa maisha yaendelee.

Hata hivyo maisha yao ndio yatakayoakisi maana halisi ya hiyo ndoa na sio harusi.
 
Nakupenda bure, mimi Pia mambo ya kujazana miwatu kibaaao inakukodolea macho hapana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama anajitambua kaka nakuomba achana na mambo ya harusi hayana inshu siku hizi....

Huyo dada kuna lake jambo analolitaka inawexekana kuna watu anataka awafumbe mdogo eti kaolewa kwa harusi kubwa ya kifahari

NARUDIA WANAWAKE SIO WATU WAZURI KABISA KAMA HATAKI ...SOGEA TUKAE OFF U GO MWAMBIE ....
watu wanawaza maisha sio harusi

Harusi ni siku moja tu hujajifunza kwa yaliyotokea kenya ??? Ya ninj hayo yote ...kama hataki ...mruhusu amtafute aliye sahihi kwake

sent from toyota Allex
 
Kaka njooo usome ushauri wa bure kabisa na ufanyie kazi

sent from toyota Allex
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…